Kwa wanaohoji kwanini Kilimanjaro siyo jiji

Mongozo

Member
Jul 2, 2017
23
10
Kilimanjaro ni Mkoa ulioko Kaskazini mwa Tanzania ulio zungukwa na Mikoa ya Arusha, Manyara na Tanga pamoja na nchi jirani ya Kenya. Mkoa wa Kilimanjaro uko na Wilaya Sita yani Hai, Siha, Moshi, Rombo, Mwanga na Same. Mwanzoni palikua na Wilaya Nne yani Hai (ikazaa Siha) Same (ikazaa Mwanga) Moshi na Rombo.

Mkoa wa Kilimanjaro uko mji mmoja mkubwa Moshi mjini (Moshi) na miji midogo na yani Hai mjini "maarufu kama Boma" (Hai) ,Sanya mjini(Siha), , Himo mjini(Moshi), Mkuu mjini(Rombo) Holili (Rombo), Mwanga mjini(Mwanga) na Same mjini (Same) Hiyo ni Miji ambapo ukifika wanazo Banks zao, Hosipital zao, Vituo vyao vya polise, Masoko yao, N.k .

Wapo wanaohoji kwanini Kilimanjaro haijakuwa Jiji? Nami nauliza, kutoa Dar-es-Salaam ni mkoa gani ambao ni Jiji? Tumeona pekee kwa mkoa wa Dar pale unapo ingia wanakuambia karibu Jiji la Dar. Kilimanjaro kuwa jiji sio sasa, yani eti unapo ingia pale Same mpakani mwa Tanga uambiwe Karibu Jiji la Kilimanjaro? Au pale KIA mpakani mwa Arusha uambiwe Karibu Jiji la Kilimanjaro? Apana, sana apo ni wahoji Moshi Mjini na sio wilaya nzima au Mkoa wake.

Kutoa Dar tumeona Majiji huzaliwa ndani ya Halmashauri mfano Halmashauri Wilaya ya Meru ndani yake kuna mji ulizaliwa ukapewa jina la mkoa ukaitwa Arusha ukapanda hadhi na sasa ni Jiji la Arusha, sio kwamba eti mtu alioko pale Kikatit yuko jijini Arusha kisa yuko Meru.

Pia kuna miji iliyopewa jina la mkoa ilipozaliwa mfano Iringa mjini, Mbeya jiji n.k kwahiyo siku Iringa ikawa jiji isizaniwe ni mkoa wote, watu huchanganyaaa sanaaa. Au Rahisi tu Umeshawahi sikia wakuu wa Mikoa wa Majiji zaidi ya Dar.

Sana Mikoa ambayo ikipambaniwa yani Mwanza na Kilimanjaro ya weza kuwa Majiji na hii ni kutokana geografia zake, ni mikoa midogo kwahiyo kupeleka maendeleo ni rahisi Mtwara ni mdogo sema wazawa wake hawako na juhudi ila ni mrahisi kuwa jiji tukiongelea kwa udogo.

Tusahihishane kwa hoja apa.
 
Moshi ni maarufu kuliko Kilimanjaro.

Hata watu wa Same mwanga na Rombo utawasikia wanasema "Tunaenda kwetu Moshi" bila kukumbuka moshi ki wilaya tu.
So iwe " jiji la Moshi".

Au

"Jiii la Kilimanjaro"?
 
Hvi moshi na tanga mjin ni wap panastahli kuwa jiji?
Unaongelea Tanga Mkoa au Tanga Mji? Maana Tanga mji ni Jiji kitambo sanaaa kabla hata ya Majiji Mengine. Mbeya Mjini (jiji) Mwanza Mjini (*jiji) Arusha Mjini (*jiji) yote hayo yamelikuta jiji la Tanga. Sema Tanga jiji lilizimwa na Serikali, maana wanaoamua kuapandisha na kushusha hadhi ya mji sio wakazi bali ni serikali. Tumeona mfano kwa Dodoma mjini (*jiji) na Chato yetu pia inavyopambaniwa by25 huko iwe Jiji .Kwahyo Moshi mji hata waloge bila serikali kusema ndio patabakigi tu na maendeleo yao ya ki mji mji tuuuu.
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Moshi ni maarufu kuliko Kilimanjaro.

Hata watu wa Same mwanga na Rombo utawasikia wanasema "Tunaenda kwetu Moshi" bila kukumbuka moshi ki wilaya tu.
So iwe " jiji la Moshi".

Au

"Jiii la Kilimanjaro"?
Kilimanjaro kuwa Jiji bado sanaa.
Labda Moshi mji pale ambayo serikali wakisema ndio mda wowote maendeleo yatapanda kasi (miradi mingi mikubwa ya maendeleo hupelekwa kwenye majiji) kama ilivyo Dom, Ar zilivyopandishwa hadhi. Mkoa pekee ambao ni Jiji ni Dar kwahyo Kilimanjaro kuwa jiji labda by 2100 yani kuanzia huko same pawege na manispaa huko Rombo ,Siha na Hai kwahiyo hizo manispaa zikiweza ungana basi Kilimanjaro ni Jiji. Kama manispaa za Dar zilivyoungana kuanzia Temeke hadi Kino na kule Ilala
Nenda kapate swafarii baridiii ingineee uje uandike upya.
😷
 
Kilimanjaro ni Mkoa ulioko Kaskazini mwa Tanzania ulio zungukwa na Mikoa ya Arusha, Manyara na Tanga pamoja na nchi jirani ya Kenya. Mkoa wa Kilimanjaro uko na Wilaya Sita yani Hai, Siha, Moshi, Rombo, Mwanga na Same. Mwanzoni palikua na Wilaya Nne yani Hai (ikazaa Siha) Same (ikazaa Mwanga) Moshi na Rombo.

Mkoa wa Kilimanjaro uko mji mmoja mkubwa Moshi mjini (Moshi) na miji midogo na yani Hai mjini "maarufu kama Boma" (Hai) ,Sanya mjini(Siha), , Himo mjini(Moshi), Mkuu mjini(Rombo) Holili (Rombo), Mwanga mjini(Mwanga) na Same mjini (Same) Hiyo ni Miji ambapo ukifika wanazo Banks zao, Hosipital zao, Vituo vyao vya polise, Masoko yao, N.k .

Wapo wanaohoji kwanini Kilimanjaro haijakuwa Jiji? Nami nauliza, kutoa Dar-es-Salaam ni mkoa gani ambao ni Jiji? Tumeona pekee kwa mkoa wa Dar pale unapo ingia wanakuambia karibu Jiji la Dar. Kilimanjaro kuwa jiji sio sasa, yani eti unapo ingia pale Same mpakani mwa Tanga uambiwe Karibu Jiji la Kilimanjaro? Au pale KIA mpakani mwa Arusha uambiwe Karibu Jiji la Kilimanjaro? Apana, sana apo ni wahoji Moshi Mjini na sio wilaya nzima au Mkoa wake.

Kutoa Dar tumeona Majiji huzaliwa ndani ya Halmashauri mfano Halmashauri Wilaya ya Meru ndani yake kuna mji ulizaliwa ukapewa jina la mkoa ukaitwa Arusha ukapanda hadhi na sasa ni Jiji la Arusha, sio kwamba eti mtu alioko pale Kikatit yuko jijini Arusha kisa yuko Meru.

Pia kuna miji iliyopewa jina la mkoa ilipozaliwa mfano Iringa mjini, Mbeya jiji n.k kwahiyo siku Iringa ikawa jiji isizaniwe ni mkoa wote, watu huchanganyaaa sanaaa. Au Rahisi tu Umeshawahi sikia wakuu wa Mikoa wa Majiji zaidi ya Dar.

Sana Mikoa ambayo ikipambaniwa yani Mwanza na Kilimanjaro ya weza kuwa Majiji na hii ni kutokana geografia zake, ni mikoa midogo kwahiyo kupeleka maendeleo ni rahisi Mtwara ni mdogo sema wazawa wake hawako na juhudi ila ni mrahisi kuwa jiji tukiongelea kwa udogo.

Tusahihishane kwa hoja apa.
Wanaohoji si juu ya Kilimanjaro, bali mji wa Moshi.
 
Mnapotosha maana ya neno jiji
Wengi wanachanganyaga sana.
Na hii yote ni watu kutojua maeneo yao kijografia. Weng huita mkoa wa Kilimanjaro (*Moshi *)watu wa wilaya zote wamesahau mkoa wao hasa kizazi cha 1990 + wachini ya hapo hujitoa ufahamu tu. Sasa wanaposikia Moshi mjini inatakiwa kuwa Jiji inawachanganya sanaa
 
Wanaohoji si juu ya Kilimanjaro, bali mji wa Moshi.
Habari ya Moshi kuwa Jiji ipo wazi, sio wakazi wanapandisha hadhi. Ingekuwa hvyo ungekuta Dom kabla serikali haijasema ndio ingebakigi hvyo tuu kama Moshi. Serikali ndo huamuaa bhana. Angalia Tanga ambapo ni jiji la pili kupandishwa serikali walivyolizima huezi fananisha na jiji la juzii tu Dom au Arsha .
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom