Kwa wanaohitaji msaada kuhusu Mara Sekondari

Kwa wanaohitaji msaada kuhusu Mara Sekondari

2011996bd

JF-Expert Member
Joined
Jun 20, 2016
Posts
270
Reaction score
95
Habbari zenu wana jf natumai wote wazima
Post hii n kwa wale wote walio pangiwa Mara sec kwa yeyote swali kuhusu shule hii aniulize ntamjibu


By mgeni
 
Nauliza tu aisee hivi bado zile chocho za kuibukia Nyamatare zipo aiseee??

Vipi mitaa ya kibini pale bado kunafikika siku hizi, maana tulikuwa tunazamia sana mitaa ile na vidumu vyetu tunazuga tunatafuta maji ya kunywa, kumbe tunaenda kucheki "pilau"
 
hahahaaaa eti kucheki pilau. hivi kigera bado ipo au imehamishwa?. mlebi,nyangahondi wapo?
 
hahahaaaa eti kucheki pilau. hivi kigera bado ipo au imehamishwa?. mlebi,nyangahondi wapo?
Hao hawapo washahama walio hama n pamoja J Wmbura n mkuu sasaiv n Garibona
 
Nauliza tu aisee hivi bado zile chocho za kuibukia Nyamatare zipo aiseee??

Vipi mitaa ya kibini pale bado kunafikika siku hizi, maana tulikuwa tunazamia sana mitaa ile na vidumu vyetu tunazuga tunatafuta maji ya kunywa, kumbe tunaenda kucheki "pilau"
Zipo ila msitu umefyekwa wote kwahiyo mambo ya mlimani hakuna tena
 
Back
Top Bottom