Sema mungu atusamehe....una usafi gani wewe wa kuniombea msamaha?
Au wewe ni malaika,mdogo wake na Mungu usie na dhambi,mwenye uwezo wa kukoromea wanadamu wengine,unaesikilizwa na mungu tu sisi wengine ni ng'ombe....
Na namba ya simu umeweka kabisa,tukupigie utuombee wewe,tusipopiga mungu hatusaidii?
!