Kwa wanaohitaji kuolewa

MUNGU AKUSAMEHE.

Mungu anisamehe...ina maana na wewe huna dhambi yoyote ya kusamehewa?Unataka kujifanya malaika eee?

Mijitu inayojifanya mitakatifu minafiki sana,halafu inajitia ina special authority hivi,tenda dhambi lezangu tuu!
 
The reason I love my life is simple. You reside in it,
and you'll stay there forever. If not in person, then as
memories. But you'll stay...
 
Reactions: MC7
Hakikisha kabla ya kuolewa uko sawa NA wazazi wako ogopa mzazi akienda KWENYE hall anawaza hiiharusi inaisha saangapi...nikalalezangu
 
KAMA ULISHIRIKI KWA NJIA.MOJA AMA.NYINGINE YA KICHAWI KUMPATA ULIE NAE TUBU HARAKA MAANA BAADA YA NDOA NGUVU ZINAISHA NA UTAHANGAIKA MILELE
 
methali...ukisoma ukaelewa ...utajua unaitaji maombi ya kufunga ufunguliwe...wapi kaandika usipoombewa ufanikiwi...embu somen muelewe
 
Mi nadhani MUNGU tu ndiye anaweza kukusaidia kupata mume au mke mwema wengine imani haba halafu wanataka kuombea watu kama IPO IPO tu mwaminini MUNGU
 
KWANINI WAWE WANAWAKE TU? AU UNA JAMBO BAYA WATAKAKUWAFANYIA
 
Kwa kweli Mungu mwenyewe akusamehe,mbona umetoka povuu kama vile wewe ndie Mungu mwenyewe. Acha kumsemea Mungu ni MKUU SANA HAHITAJI MTU KUMTETEA .
 
Mhhh kazanen kutuombea wajtaj niweng
 
Aisee hata Mi nahitaji mume maana kwa akili zangu nimeshindwa, wameume za watu wamenisonga tuu, huwa najiuliza hakuna hata aliyesingle?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…