huyo bado wajameni,,,,ni kuhakikisha kalala vema usingizi mnono,,,, ila msifanye fujo kumdistub,,, coz watoto huwa na hisia ambazo zinalink na mamake,,, ukimfuatilia,,, angalia siku mkila haya unayoita matunda utaona na kenyewe kanajing'ang'amua usingizini,,,,ni link wanayo, but hawezi ng'amua..kwani mamake lazima ashughulikiwe ili kumpata mdogo wake....