Baba Mtu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2008
- 870
- 168
Je, wewe ni mwanamke na umeolewa???!!! Je, wewe ni mwanamume na umeo???!!! Kama jibu ni ndio, fungua hapa Haki Za Mume Na Mke | Alhidaaya.com ili usome na uelewe nini wajibu wako kwa mumeo/mkeo na ni nini haki yako kutoka kwa mumeo/mkeo. Ukishasoma unatakiwa umtekelezee mwenzio haki yake ili ndoa yenu idumu, na utakuwa na kila sababu ya kudai haki yako kutoka kwa mwenzio. Kazi kwenu nyie mlio katika ndoa.
MUHIMU: SOMA KWA MAZINGATIO ILI UELEWE, CHUKUA YANAYOKUFAA NA UYAACHE YASIYOKUFAA
MUHIMU: SOMA KWA MAZINGATIO ILI UELEWE, CHUKUA YANAYOKUFAA NA UYAACHE YASIYOKUFAA