Millitarydoctor
Senior Member
- Sep 20, 2019
- 173
- 126
Kwa 1st year MUHAS naomba mwenye majina ya waliopangwa CHOLE hostel anisaidie
vipi unaweza ingia hoteli moja kwa mojaHeheheeee....wanakuja kontena jipya wenzio....kule kuna kunguni usipime.....jipange tu kufanya blood donation kwa millions of kunguni