Kwa wanachadema tu!

Dik

JF-Expert Member
Nov 15, 2011
1,204
416
Heri ya mwk mpya wanajf na wana chdm wnzng!ni matumumain yng kw mmsheherekea vym!
Najua kuna mambo mengi ambay bado chama chetu kinahtj kufanya ili kujiimarisha zaidi kuelekea chaguzi zijazo!najua kuna michango iki/uki wemo yako/wako amba(yo/o) unahtjka sn!viongozi na watu wengine wenye influence kubwa kwa chama wanatakiwa kutumia shauri na jumbe zako zitakaztolewa hapa kukiendeleza na kukijenga chama hiki cha ukombozi!we real appreciate and admire the work whch is being done by Chdm!yangu machache ni;
1.wazidi kukumbushia uovu uliofanya na wakoloni CCM na kupigania urejeshwaji wa rasilimali zilizohujumiwa
2.wazidi kueneza elimu ya uraia kw watz wote(hasa vijijn)
3.kamati kuu izidi kudumisha malezi na nidham hasa kwa wale wanaokichafua chama(SHIBUDA et al)na ikiwzkana kuwaondoa kabisa
KAMA WEWE C MWANACHADEMA USICHANGIE MADA HII!MATUSI NA KEJELI HATUZITAKI HAPA P/SE.TUNAHITAJI KUKIIMARISHA CHAMA ZAIDI!
Peoples pooweeeer!
 
Asante mkuu, nashauri 2012 uongozi wa juu wa chama ujikite vijijin,kwani tayari tumeenea mijini, lkn idadi kubwa ya walala hoi wa kitanzania wako vijijin ambao ndio wapiga kura weng. Ningependa kumuomb Dr.Slaa alivalie njuga jambo hili na kuweka malengo thabit ya kupata vti ving ktk chaguz za mitaa mwaka kesho kutwa. PPO.....Z POWER.
 
Heri ya mwk mpya wanajf na wana chdm wnzng!ni matumumain yng kw mmsheherekea vym!
Najua kuna mambo mengi ambay bado chama chetu kinahtj kufanya ili kujiimarisha zaidi kuelekea chaguzi zijazo!najua kuna michango iki/uki wemo yako/wako amba(yo/o) unahtjka sn!viongozi na watu wengine wenye influence kubwa kwa chama wanatakiwa kutumia shauri na jumbe zako zitakaztolewa hapa kukiendeleza na kukijenga chama hiki cha ukombozi!we real appreciate and admire the work whch is being done by Chdm!yangu machache ni;
1.wazidi kukumbushia uovu uliofanya na wakoloni CCM na kupigania urejeshwaji wa rasilimali zilizohujumiwa
2.wazidi kueneza elimu ya uraia kw watz wote(hasa vijijn)
3.kamati kuu izidi kudumisha malezi na nidham hasa kwa wale wanaokichafua chama(SHIBUDA et al)na ikiwzkana kuwaondoa kabisa
KAMA WEWE C MWANACHADEMA USICHANGIE MADA HII!MATUSI NA KEJELI HATUZITAKI HAPA P/SE.TUNAHITAJI KUKIIMARISHA CHAMA ZAIDI!
Peoples pooweeeer!
Acha ubaguzi, kuwa tayari kupokea mawazo toka makundi mbalimbali ya jamii
 
Juhudi za makusudi zifanyike ili chama kienee katika mikoa ya kusini maeneo ya pwani
 
kweli kabisa tena jimbo kama la temeke bila kuanza underground ni ngumu kulipata.
 
Tusisahau kuwaumbua wauza unga hata kama ni WALEZI wa chama!
 
Mikutano ya hadhara inahitajika kujulisha wananch mambo mbalimbali yanayoendelea katika taifa
 
Acha ubaguzi, kuwa tayari kupokea mawazo toka makundi mbalimbali ya jamii

Hapo amemaanisha wale viwavi wanaotumwa kuvuruga hoja,wasiingilie kwa kutuchafulia hali ya hewa,Peopleeeeeeeessssssssss............................ CHADEMA DAIMA.
 
Heri ya mwk mpya wanajf na wana chdm wnzng!ni matumumain yng kw mmsheherekea vym!
Najua kuna mambo mengi ambay bado chama chetu kinahtj kufanya ili kujiimarisha zaidi kuelekea chaguzi zijazo!najua kuna michango iki/uki wemo yako/wako amba(yo/o) unahtjka sn!viongozi na watu wengine wenye influence kubwa kwa chama wanatakiwa kutumia shauri na jumbe zako zitakaztolewa hapa kukiendeleza na kukijenga chama hiki cha ukombozi!we real appreciate and admire the work whch is being done by Chdm!yangu machache ni;
1.wazidi kukumbushia uovu uliofanya na wakoloni CCM na kupigania urejeshwaji wa rasilimali zilizohujumiwa
2.wazidi kueneza elimu ya uraia kw watz wote(hasa vijijn)
3.kamati kuu izidi kudumisha malezi na nidham hasa kwa wale wanaokichafua chama(SHIBUDA et al)na ikiwzkana kuwaondoa kabisa
KAMA WEWE C MWANACHADEMA USICHANGIE MADA HII!MATUSI NA KEJELI HATUZITAKI HAPA P/SE.TUNAHITAJI KUKIIMARISHA CHAMA ZAIDI!
Peoples pooweeeer!

Maadamu umeliweka JF basi kila mwanajamvi anahaki ya kuchangia. Vinginevyo ungeweka kule kwenye website ya CHADEMA ama blogspot yoyote ya mwana CHADEMA. Waache waje kuponda mawazo finyu ndipo utakapoimarika.
 
silabi ulizo tumia si za ukweli maeneo mengine husomeki kabisa jitahidi kuandika vizuri kwani hili jukwaa la siasa wanapita wengi akiwemo Dr Slaa

tofautisha JF na FB
 
Bila kusahau Zanzibar maana nashawishika kwa sehemu kuwa at least huku Tanganyika elimu inaendelea kuongezeka ila huko visiwani bado sana.
 
chama kiweke mizizi mikoa ya kanda ya pwani huko watu hawana elimu kabisa wao kazi ni kucheza bao na kugema minazi.
 
Maamuzi makubwa ya kichama yasifanywe na watu wa kutoka eneo moja la nchi
 
Kuna haja ya kuinvest sana vijijini na kutengeneza uelevu kwani mafisadi hutumia ujinga wa wananchi kama mtaji wao. Mijini tayari waelevu ni wengi na wanaujua uovu wa mafisadi!
 
Tusisahau kuwaumbua wauza unga hata kama ni WALEZI wa chama!
walezi wa chadema wakiuza unga wa ccm watauza nini? ok nimekumbuka watauza twiga

by the way Jesus is God kama huamini subiri siku ya kiama uone!(soma vizuri korani na bible)usije ukasema hatukukwambia.l
 
...issue ya katiba nadhani huu ndo mwaka wa kukaza uzi kabisa,hoja ya kuirudisha Tanganyika yetu naomba itiliwe mkazo kila-mtakopo enda vigozi wetu coz tumechoshwa sana na hizo kebei za Wazanzibar.Yaani Watanzania bara tumekuwa kama watoto wa-kambo!...tuseme imetosha sasa tunataka kurudi kwetu Tanganyika,hakuna sababu ya kuendelea kusmangwa hapa ugenini(Tz).
 
walezi wa chadema wakiuza unga wa ccm watauza nini? ok nimekumbuka watauza twiga

by the way Jesus is God kama huamini subiri siku ya kiama uone!(soma vizuri korani na bible)usije ukasema hatukukwambia.l

CDM = Christian Democratic Movement! Pia mi nakubali Jesus is 'god', Tatizo God sio Jesus!
 
Back
Top Bottom