Heri ya mwk mpya wanajf na wana chdm wnzng!ni matumumain yng kw mmsheherekea vym!
Najua kuna mambo mengi ambay bado chama chetu kinahtj kufanya ili kujiimarisha zaidi kuelekea chaguzi zijazo!najua kuna michango iki/uki wemo yako/wako amba(yo/o) unahtjka sn!viongozi na watu wengine wenye influence kubwa kwa chama wanatakiwa kutumia shauri na jumbe zako zitakaztolewa hapa kukiendeleza na kukijenga chama hiki cha ukombozi!we real appreciate and admire the work whch is being done by Chdm!yangu machache ni;
1.wazidi kukumbushia uovu uliofanya na wakoloni CCM na kupigania urejeshwaji wa rasilimali zilizohujumiwa
2.wazidi kueneza elimu ya uraia kw watz wote(hasa vijijn)
3.kamati kuu izidi kudumisha malezi na nidham hasa kwa wale wanaokichafua chama(SHIBUDA et al)na ikiwzkana kuwaondoa kabisa
KAMA WEWE C MWANACHADEMA USICHANGIE MADA HII!MATUSI NA KEJELI HATUZITAKI HAPA P/SE.TUNAHITAJI KUKIIMARISHA CHAMA ZAIDI!
Peoples pooweeeer!
Najua kuna mambo mengi ambay bado chama chetu kinahtj kufanya ili kujiimarisha zaidi kuelekea chaguzi zijazo!najua kuna michango iki/uki wemo yako/wako amba(yo/o) unahtjka sn!viongozi na watu wengine wenye influence kubwa kwa chama wanatakiwa kutumia shauri na jumbe zako zitakaztolewa hapa kukiendeleza na kukijenga chama hiki cha ukombozi!we real appreciate and admire the work whch is being done by Chdm!yangu machache ni;
1.wazidi kukumbushia uovu uliofanya na wakoloni CCM na kupigania urejeshwaji wa rasilimali zilizohujumiwa
2.wazidi kueneza elimu ya uraia kw watz wote(hasa vijijn)
3.kamati kuu izidi kudumisha malezi na nidham hasa kwa wale wanaokichafua chama(SHIBUDA et al)na ikiwzkana kuwaondoa kabisa
KAMA WEWE C MWANACHADEMA USICHANGIE MADA HII!MATUSI NA KEJELI HATUZITAKI HAPA P/SE.TUNAHITAJI KUKIIMARISHA CHAMA ZAIDI!
Peoples pooweeeer!