majebsmafuru
JF-Expert Member
- May 1, 2017
- 452
- 624
Hivi kama madereva wa boda na bajaj zenu wanafanya hivi...
Kweli mtakubali kulipa faini zao?! Wenzao wanafuata sheria na taratibu bila shuruti, wao wala hawana muda! kweli akili zao zinakwenda kinyume ...
Mwigulu Nchemba na Trafiki polisi wanaomba waendelee kuvunja sheria, mapato ya ubwete na ya uhakika..
Kweli mtakubali kulipa faini zao?! Wenzao wanafuata sheria na taratibu bila shuruti, wao wala hawana muda! kweli akili zao zinakwenda kinyume ...
Mwigulu Nchemba na Trafiki polisi wanaomba waendelee kuvunja sheria, mapato ya ubwete na ya uhakika..