Kwa wamiliki/ madereva wa magari na wana sayansi, tusaidiane kwa hili!

Zero Hours

JF-Expert Member
Apr 1, 2011
12,944
18,653
Ni kuhusu ulaji ( consumption) wa mafuta wa magari. Je hali ya hewa ina mahusiano na utumiaji wa mafuta katika magari?

Kibinafsi mimi naona kama vile kunapokuwa na baridi, matumizi ya mafuta hupungua ukilinganisha na hali ya hewa inapokuwa ya joto.

Juzi nimeenda mwendo wa 200km ( kwenda na kurudi) na nilikuwa nimeweka mafuta ya 50,000 maana nilizoea kawaida kutumia mafuta ya 50,000 to 60,000. Cha kushanganza, nilienda na kurudi na mshale ulishuka bar moja tu amabayo ni kama mafuta ya 25,000. Hii ni mara ya pili naona matumizi ya mafuta kuwa chini kama kuna baridi au mvua.

Hali ya hewa ya jana ilikuwa baridi na mvua tu toka asubuhi hadi jion.

Vipi kwa watumiaji wengine wa magari, Je umeshagundua kuwa kuna tofaut katika ulaji wa mafuta wa gari yako kulingana na hali ta hewa?

Je kama ni kweli, kuna maelezo ya kisayansi au kitaalamu kuelezea kwanini hii hutokea?
 
kuna process inaitwa evaporation mkuu!

pia kuna factors affecting evaporation! so kukiwa na jua evaporation hutokea kwa kiasi kikubwa kuliko wakati wa baridi au mvua!
 
Ni kuhusu ulaji ( consumption) wa mafuta wa magari. Je hali ya hewa ina mahusiano na utumiaji wa mafuta katika magari?

Kibinafsi mimi naona kama vile kunapokuwa na baridi, matumizi ya mafuta hupungua ukilinganisha na hali ya hewa inapokuwa ya joto.

Juzi nimeenda mwendo wa 200km ( kwenda na kurudi) na nilikuwa nimeweka mafuta ya 50,000 maana nilizoea kawaida kutumia mafuta ya 50,000 to 60,000. Cha kushanganza, nilienda na kurudi na mshale ulishuka bar moja tu amabayo ni kama mafuta ya 25,000. Hii ni mara ya pili naona matumizi ya mafuta kuwa chini kama kuna baridi au mvua.

Hali ya hewa ya jana ilikuwa baridi na mvua tu toka asubuhi hadi jion.

Vipi kwa watumiaji wengine wa magari, Je umeshagundua kuwa kuna tofaut katika ulaji wa mafuta wa gari yako kulingana na hali ta hewa?

Je kama ni kweli, kuna maelezo ya kisayansi au kitaalamu kuelezea kwanini hii hutokea?
https://www.carfax.eu/article/fuel-consumption
 
Kuthibitisha observation yako ungetuambia pia katika safari za cku za JOTO na BARIDI, Je??
1.Ulikuwa unatumia A/C constant, bcuz kukiwa na joto compressor inafanya kazi zaidi kupoza hewa kuliko hali ikiwa tulivu.
2. Average/cruising speed ulikuwa unatembea nayo ni sawa mara zote
3. Tire Pressure yako ilikuwa sawa mara zote.

Hizo hapo juu nadhani ndo zinaweza kuaffect consumption yako.

Petrol ina evaporate katika room temperature haihitaji joto na pia pump ya mafuta huwa ina-inject petrol au diesel kwny engine combustion chamber ikiwa katika hali ya mvuke(mist) ikiwa imechanganywa na hewa so mixing hii haijalishi either ni cku ya joto au baridi.

Kwa uelewa wangu tu.
 
Naombeni uzoefu wenu pale ambapo imetokea ajali iliyosababishwa na gari yako (say tairi ya mbele imepasuka) gari ikavutwa ikagonga nyingine. So gari zote zimeharibika lakini wewe uliyesababisha unatakiwa kumlipa pia yule mwingine...
 
Naombeni uzoefu wenu pale ambapo imetokea ajali iliyosababishwa na gari yako (say tairi ya mbele imepasuka) gari ikavutwa ikagonga nyingine. So gari zote zimeharibika lakini wewe uliyesababisha unatakiwa kumlipa pia yule mwingine...
Una insurance ya aina gani. Third party itacover hasara za uliyemgonga.
 
Kuthibitisha observation yako ungetuambia pia katika safari za cku za JOTO na BARIDI, Je??
1.Ulikuwa unatumia A/C constant, bcuz kukiwa na joto compressor inafanya kazi zaidi kupoza hewa kuliko hali ikiwa tulivu.
2. Average/cruising speed ulikuwa unatembea nayo ni sawa mara zote
3. Tire Pressure yako ilikuwa sawa mara zote.

Hizo hapo juu nadhani ndo zinaweza kuaffect consumption yako.

Petrol ina evaporate katika room temperature haihitaji joto na pia pump ya mafuta huwa ina-inject petrol au diesel kwny engine combustion chamber ikiwa katika hali ya mvuke(mist) ikiwa imechanganywa na hewa so mixing hii haijalishi either ni cku ya joto au baridi.

Kwa uelewa wangu tu.
wakati wa joto katika hii safari huwa situmii AC sababu nafungua vioo na natembea kwa 50-120km/hr. Ila sababu ya mvua ilikuwa inanyesha, vioo vilikuwa vimefungwa vyote na ac imewashwa kwa kiasi kidogo( number 1).
 
Kuthibitisha observation yako ungetuambia pia katika safari za cku za JOTO na BARIDI, Je??
1.Ulikuwa unatumia A/C constant, bcuz kukiwa na joto compressor inafanya kazi zaidi kupoza hewa kuliko hali ikiwa tulivu.
2. Average/cruising speed ulikuwa unatembea nayo ni sawa mara zote
3. Tire Pressure yako ilikuwa sawa mara zote.

Hizo hapo juu nadhani ndo zinaweza kuaffect consumption yako.

Petrol ina evaporate katika room temperature haihitaji joto na pia pump ya mafuta huwa ina-inject petrol au diesel kwny engine combustion chamber ikiwa katika hali ya mvuke(mist) ikiwa imechanganywa na hewa so mixing hii haijalishi either ni cku ya joto au baridi.

Kwa uelewa wangu tu.
Speed wakati wa mvua ilikuwa kidogo yan 50-120. Kulinganisha na siku zisizokuwa na mvua. (60-140). So labda sababu inaweza kuwa na Cruising speed kuwa ndogo.
 
Back
Top Bottom