samuel faraj
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 1,326
- 1,265
Hiyo hela ud unampa nani lecturer anakwambia yuko radhi akupe mtaji ukafanye biashara kuliko kukupa pass usiyostahiliAah mkuu lazima hela ilitumika hapo
Hiyo hela ud unampa nani lecturer anakwambia yuko radhi akupe mtaji ukafanye biashara kuliko kukupa pass usiyostahiliAah mkuu lazima hela ilitumika hapo
Kama kasapua basi wataibadilisha hiyo D ina maana aliipata after first seat ya UE aliyoifanya kama kasapua majibu yakitoka atakuwa na C huwa haizidi hapo hata kama ulipata AKuna mdogo wangu nilimwambia aniletee matokeo yake,ajamaliza bado ila kuna kozi bado kawekewa D na anasema ashasapua..hii imekaaje??
Ok sawa mkuu..Kama kasapua basi wataibadilisha hiyo D ina maana aliipata after first seat ya UE aliyoifanya kama kasapua majibu yakitoka atakuwa na C huwa haizidi hapo hata kama ulipata A
Kama nikiuliza itakuwaje mkuu.Mwaka wa kwanza udsm nilikuwa na supplementary ya
EC 116 na
EC 117 nikachomoa 117 nikabeba 116
Mwaka wa pili
Suplimentary ya
EC 216
EC 217
EC 218
EC 219
Nilikuwa na gpa ya 1.6 iyo ni semester ya kwanza apo kuna coz mbili ambazo nilipiga B+ na B mana kwa semister tuna coz sita
Semister ya pili mwaka wa pili
Supplementary
EC 229
Jumlisha na carry over ya EC 116
Usiulize nilipitaje mwaka wa pili kuingia wa tatu pia usiulize nilichomoka vipi
Pia mwaka wa tatu sikuwa na carry over ata moja
Kama nikiuliza itakuwaje mkuu.
Hivi mkuu ukipata sup kwenye transcript itajazwaje??..sio kwamba inachafua kidogo cheti??
Inachafua maana unawekewa c yenye star
Ha ha yule Dr mzinguaji qm haiwezi anachofundisha yy mwenyewe hakielewi halafu pepa zake hatungi anagoogle kuna siku tulimuotea maana tulizingua akatoa pepa nyingine niliacha 0.5 tuQm ukutane na dr ngasamiaku ni nouma
Course work nilikuwa na 15.5 ambayo ni automatic carry over nikaenda kumuomba 0.5 alicho nijibu sitakaa nisahau katika maisha yangu
Ila alituachia wote kwanzia mwenye 15 tufanye ue tho nilisupp
Hivi kwenye cheti carry over huwa wanaiwekea c ya nyota ?? Maana nilijichanganya nikaopt ec116 daa ilichonifanyia
Ha ha yule Dr mzinguaji qm haiwezi anachofundisha yy mwenyewe hakielewi halafu pepa zake hatungi anagoogle kuna siku tulimuotea maana tulizingua akatoa pepa nyingine niliacha 0.5 tu
Ulimaliza mwaka gani mkuu?
Asee ulipambana kwel..ongerqMwaka wa kwanza udsm nilikuwa na supplementary ya
EC 116 na
EC 117 nikachomoa 117 nikabeba 116
Mwaka wa pili
Suplimentary ya
EC 216
EC 217
EC 218
EC 219
Nilikuwa na gpa ya 1.6 iyo ni semester ya kwanza apo kuna coz mbili ambazo nilipiga B+ na B mana kwa semister tuna coz sita
Semister ya pili mwaka wa pili
Supplementary
EC 229
Jumlisha na carry over ya EC 116
Usiulize nilipitaje mwaka wa pili kuingia wa tatu pia usiulize nilichomoka vipi
Pia mwaka wa tatu sikuwa na carry over ata moja
Me nimepata supp ya somo moja tena semister ya kwanza hivi inaweza ikaleta madhara yeyote kwenye cheti endapo sitapata supp nyingineZamani kulikuwa na msemo unaosema kutereza sio kuanguka ,msemo huu ukiuleta kwa wasomi huwa unakuja na tumaini jipya,
Maisha ya chuo yana changamoto kubwa sana mwanzo nilivyoanza nilijua ni sehemu flani simple simple ya kukutana na wadada wazuri kupiga story na kuwala ,
Semister ya kwanza ilivyoisha nilikoswa koswa lakini nilipita salama ile ya pili sasa nilikamatwa na sup alafu nilivyocreal ka GPA kalikuwa kadogo kinyama ,
Nilivyoenda likizo na kurudi nilijisemea tu hapa siyo pa mchezo mchezo nikileta mzaa cheti nitakisikia kwenye bomba nilikaza na kumaliza fresh.
Na wewe kama uliwahi kupata sup wakati ukiwa chuoni ukuje hapa.
Cheti akionyeshi sup ata siku Moja ila wasi wasi wa GPA kuwa ndogo labda ilo tuuMe nimepata supp ya somo moja tena semister ya kwanza hivi inaweza ikaleta madhara yeyote kwenye cheti endapo sitapata supp nyingine