Kwa waliowahi kupata supplementary (Sup) Chuoni.

Kwa waliowahi kupata supplementary (Sup) Chuoni.

Zero IQ

JF-Expert Member
Joined
Dec 21, 2016
Posts
13,985
Reaction score
25,200
Zamani kulikuwa na msemo unaosema kutereza sio kuanguka ,msemo huu ukiuleta kwa wasomi huwa unakuja na tumaini jipya,

Maisha ya chuo yana changamoto kubwa sana mwanzo nilivyoanza nilijua ni sehemu flani simple simple ya kukutana na wadada wazuri kupiga story na kuwala ,

Semister ya kwanza ilivyoisha nilikoswa koswa lakini nilipita salama ile ya pili sasa nilikamatwa na sup alafu nilivyocreal ka GPA kalikuwa kadogo kinyama ,

Nilivyoenda likizo na kurudi nilijisemea tu hapa siyo pa mchezo mchezo nikileta mzaa cheti nitakisikia kwenye bomba nilikaza na kumaliza fresh.


Na wewe kama uliwahi kupata sup wakati ukiwa chuoni ukuje hapa.
 
Mwaka wa kwanza udsm nilikuwa na supplementary ya

EC 116 na
EC 117 nikachomoa 117 nikabeba 116

Mwaka wa pili
Suplimentary ya
EC 216
EC 217
EC 218
EC 219
Nilikuwa na gpa ya 1.6 iyo ni semester ya kwanza apo kuna coz mbili ambazo nilipiga B+ na B mana kwa semister tuna coz sita

Semister ya pili mwaka wa pili
Supplementary
EC 229

Jumlisha na carry over ya EC 116

Usiulize nilipitaje mwaka wa pili kuingia wa tatu pia usiulize nilichomoka vipi

Pia mwaka wa tatu sikuwa na carry over ata moja
 
Mkuu miaka ya sahivi kila mtu kafika chuo,so kuja na hoja za chuo hata sio dili tena,kama kaushamba flani hivi,nakuombea kakuepukie mbali..najisikia vibaya kukudharau!
Asnte mkuu ata kuwa na smatphone siku hizi siyo dili tena kila mtu ana uwezo wa kumiliki hivyo ni kaushamba flani hivi kukocoment upumbavu kwenye uzi usiokuhusu ni bora ukakojoe ukalale.
 
Mwaka wa kwanza udsm nilikuwa na supplementary ya

EC 116 na
EC 117 nikachomoa 117 nikabeba 116

Mwaka wa pili
Suplimentary ya
EC 216
EC 217
EC 218
EC 219
Nilikuwa na gpa ya 1.6 iyo ni semester ya kwanza apo kuna coz mbili ambazo nilipiga B+ na B mana kwa semister tuna coz sita

Semister ya pili mwaka wa pili
Supplementary
EC 229

Jumlisha na carry over ya EC 116

Usiulize nilipitaje mwaka wa pili kuingia wa tatu pia usiulize nilichomoka vipi

Pia mwaka wa tatu sikuwa na carry over ata moja
Aah mkuu lazima hela ilitumika hapo
 
Mwaka wa kwanza udsm nilikuwa na supplementary ya

EC 116 na
EC 117 nikachomoa 117 nikabeba 116

Mwaka wa pili
Suplimentary ya
EC 216
EC 217
EC 218
EC 219
Nilikuwa na gpa ya 1.6 iyo ni semester ya kwanza apo kuna coz mbili ambazo nilipiga B+ na B mana kwa semister tuna coz sita

Semister ya pili mwaka wa pili
Supplementary
EC 229

Jumlisha na carry over ya EC 116

Usiulize nilipitaje mwaka wa pili kuingia wa tatu pia usiulize nilichomoka vipi

Pia mwaka wa tatu sikuwa na carry over ata moja
Unagamba tayari??...kama unalo big up..maisha ni changamoto na jinsi ya kuziclear hizo changamoto ni maisha...
 
Mwaka wa kwanza udsm nilikuwa na supplementary ya

EC 116 na
EC 117 nikachomoa 117 nikabeba 116

Mwaka wa pili
Suplimentary ya
EC 216
EC 217
EC 218
EC 219
Nilikuwa na gpa ya 1.6 iyo ni semester ya kwanza apo kuna coz mbili ambazo nilipiga B+ na B mana kwa semister tuna coz sita

Semister ya pili mwaka wa pili
Supplementary
EC 229

Jumlisha na carry over ya EC 116

Usiulize nilipitaje mwaka wa pili kuingia wa tatu pia usiulize nilichomoka vipi

Pia mwaka wa tatu sikuwa na carry over ata moja
Ha ha ha umenifurahisha sana mkuu 218,219,228,229, 374 na 384 plus AC lazima moja likudake hasa tuliopiga advance HGE maana differentiation na ndugu yake integration siyo mchezo sijawahi ya kuyaelewa ni Mungu tu

Yaani mwaka wa tatu 374 ilibidi tufanye assignment as a group work ndiyo CW ikasomeka na UE ililetwa mpk true na false mixer kudefine la sivyo hali ilikuwa tete
 
Mkuu miaka ya sahivi kila mtu kafika chuo,so kuja na hoja za chuo hata sio dili tena,kama kaushamba flani hivi,nakuombea kakuepukie mbali..najisikia vibaya kukudharau!
Daaa hata mimi namuonea huruma..
 
Ha ha ha umenifurahisha sana mkuu 218,219,228,229, 374 na 384 plus AC lazima moja likudake hasa tuliopiga advance HGE maana differentiation na ndugu yake integration siyo mchezo sijawahi ya kuyaelewa ni Mungu tu

Yaani mwaka wa tatu 374 ilibidi tufanye assignment as a group work ndiyo CW ikasomeka na UE ililetwa mpk true na false mixer kudefine la sivyo hali ilikuwa tete

Ndugu iyo 219 na ndugu yake 229 ni kiboko qm unaweza chomoko ila izo mbili apa juu duuuh
 
Quantitative Techniques in Geography.. Ogopa sana huu mziki.. Ulinifanya mbaya chuoni pamoja na Remote sensing. Nilipata tabu sana.
 
Back
Top Bottom