Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,985
- 25,200
Zamani kulikuwa na msemo unaosema kutereza sio kuanguka ,msemo huu ukiuleta kwa wasomi huwa unakuja na tumaini jipya,
Maisha ya chuo yana changamoto kubwa sana mwanzo nilivyoanza nilijua ni sehemu flani simple simple ya kukutana na wadada wazuri kupiga story na kuwala ,
Semister ya kwanza ilivyoisha nilikoswa koswa lakini nilipita salama ile ya pili sasa nilikamatwa na sup alafu nilivyocreal ka GPA kalikuwa kadogo kinyama ,
Nilivyoenda likizo na kurudi nilijisemea tu hapa siyo pa mchezo mchezo nikileta mzaa cheti nitakisikia kwenye bomba nilikaza na kumaliza fresh.
Na wewe kama uliwahi kupata sup wakati ukiwa chuoni ukuje hapa.
Maisha ya chuo yana changamoto kubwa sana mwanzo nilivyoanza nilijua ni sehemu flani simple simple ya kukutana na wadada wazuri kupiga story na kuwala ,
Semister ya kwanza ilivyoisha nilikoswa koswa lakini nilipita salama ile ya pili sasa nilikamatwa na sup alafu nilivyocreal ka GPA kalikuwa kadogo kinyama ,
Nilivyoenda likizo na kurudi nilijisemea tu hapa siyo pa mchezo mchezo nikileta mzaa cheti nitakisikia kwenye bomba nilikaza na kumaliza fresh.
Na wewe kama uliwahi kupata sup wakati ukiwa chuoni ukuje hapa.