- Thread starter
- #21
Ile shule imesajiliwa mwaka 1921 na kupewa kibali cha miaka 35. (expire date of land certificate) wakati huo ikiwa chini ya wahindi. Waka renew tena mpaka mwaka 1976 baada ya kuexpire kibali cha mwanzo. Wakarenew tena kwa miaka 16. Baada ya hapo hawajarenew tena kwahiyo mpaka sasa haijulikani mmiliki ni nani. Inshort mpaka sasa shule iko chini ya Rais kwani ardhi haijamilikishwa kwa mtu. Huo ndio usajili unaozungumziwa hapo.
hilo nalo ckua nalijua me nimesoma tu,