JAMBONIA LTD
JF-Expert Member
- Jan 22, 2014
- 576
- 263
Habari kama kuna member yoyote aliyesoma hii kozi kuna kijana anaomba ushauri anataka kuapply pale DIT, au hata kama unamjua aliyesoma ,je ni kozi yenye future nzuri?
First round haijaisha kwani hiyo ni diplomaKuaply second round tayari?
Soma kuanzia no 11Habari kama kuna member yoyote aliyesoma hii kozi kuna kijana anaomba ushauri anataka kuapply pale DIT, au hata kama unamjua aliyesoma ,je ni kozi yenye future nzuri?
umesomeka mkuu shukran
Nasoma biomedical, Ni kozi nzuri sana na ni mpya sio tu kwa Africa bali dunia nzima. Biomedical ni muunganiko hasa wa medicine (level ya kati) na electronics. Pia ni mjumuisho kidogo wa IT na mechanics. Ni kozi ngumu lakini inavutia sana. Namshauri asome tu bila wasiwasi hatajuta kivyovyote vile. Kusoma ni kuenjoy.Habari kama kuna member yoyote aliyesoma hii kozi kuna kijana anaomba ushauri anataka kuapply pale DIT, au hata kama unamjua aliyesoma ,je ni kozi yenye future nzuri?
Oid mkuuNasoma biomedical, Ni kozi nzuri sana na ni mpya sio tu kwa Africa bali dunia nzima. Biomedical ni muunganiko hasa wa medicine (level ya kati) na electronics. Pia ni mjumuisho kidogo wa IT na mechanics. Ni kozi ngumu lakini inavutia sana. Namshauri asome tu bila wasiwasi hatajuta kivyovyote vile. Kusoma ni kuenjoy.
samahani sifahamu kwa kweli.Oid mkuu
Mie tayar nimesha apply dit kwa coz iyoiyo ya biomedical science engineering axa nackilizia selection mpaka sasa bad azijatoka..?
Siku manesi wa binadamu wakipungua basi na watu wa biomedical watapungua. Ni kwasababu kwa sasa kazi nyingi wanapewa mashirika binafsi hasa wahindi na wana gharama hatare.Hii kozi ni majanga!! Kila halmashauri kuwa na biomedical injinia mmoja wakati watakaohitimu ni maelfu!! Wale wa mwanzo watapata nafasi ila watakaofuata ni majanga!! Kwa sasa hivi wako wahitimu Kwa mamia huko mitaani waliohitimu pale DIT na hao ndio watakaojaza nafasi zote zitakazotangazwa na si wote watakaopata nafasi!! Anayeanza Leo kozi hiyo atarajie maumivu!!!
Ni kama kozi ya petroleum Enginering! Walioanza walipata nafasi lakini wanaohitimu Leo ni maumivu!!
Habari kama kuna member yoyote aliyesoma hii kozi kuna kijana anaomba ushauri anataka kuapply pale DIT, au hata kama unamjua aliyesoma ,je ni kozi yenye future nzuri?
unasoma chuo kipi nduguNasoma biomedical, Ni kozi nzuri sana na ni mpya sio tu kwa Africa bali dunia nzima. Biomedical ni muunganiko hasa wa medicine (level ya kati) na electronics. Pia ni mjumuisho kidogo wa IT na mechanics. Ni kozi ngumu lakini inavutia sana. Namshauri asome tu bila wasiwasi hatajuta kivyovyote vile. Kusoma ni kuenjoy.
nasoma nje ya nchi mkuu...chuo cha sayans na tech cha oran.unasoma chuo kipi ndugu
Ok good ,sisi tunakomaa humuhumunasoma nje ya nchi mkuu...chuo cha sayans na tech cha oran.