Mnapokuwa katika ndoa na mna mtoto mdogo ndani kuanzia mtoto wa siku moja Mpaka miaka 2 na mnahitaji mpeani haki ya ndoa inakuwaje maana karibu natarajia kupata mtoto
hiyo nayo ni challenge kwakweli, yani ukiwa na mtoto zoezi linakuwa gumu ni kuviziana tu mastaili ya kusimamia kucha na kulegeza kitanda hayapo tena, kamchezo ni kimya kimya tu no kushangilia ehhh ni shughuli...
hiyo nayo ni challenge kwakweli, yani ukiwa na mtoto zoezi linakuwa gumu ni kuviziana tu mastaili ya kusimamia kucha na kulegeza kitanda hayapo tena, kamchezo ni kimya kimya tu no kushangilia ehhh ni shughuli...
mwanamke una maneno ww! Hilo neno kusimamia kucha unalipenda itakuwa jamaa anakukaza vzr
kuna vitoto nuksi mkitaka kuanza tu hakooo kanaamka yani utadhani kachunga noma ha ha ha labda kukapiga exile kaende kumsalimia bibi weekend lol.....ha ha ha ha ha..........
usijali magwiji hawakosi mbinu............
Mtoto akilala tu mzigo unaliwa
kuna vitoto nuksi mkitaka kuanza tu hakooo kanaamka yani utadhani kachunga noma ha ha ha labda kukapiga exile kaende kumsalimia bibi weekend lol.....
hizo ni moja ya mbinu au nyie wenyewe kwenda kupiga mechi za mbali..........I cant wait ninaporudia ujana wa kwenda kupiga mechi za mbali lol!!!!!
ngoja nikuwassap link moja hivi.
Na we ndio unavyofanyaga
Mnapokuwa katika ndoa na mna
mtoto mdogo ndani kuanzia mtoto wa siku moja Mpaka miaka 2 na
mnahitaji mpeani haki ya ndoa inakuwaje maana karibu natarajia kupata
mtoto
Hapo suluhisho ni kusubiri afike hata 5yrs aaze kulala peke yake ndo muanze tena shughuli zenu