Msaranga
JF-Expert Member
- Feb 10, 2009
- 956
- 227
Wanajamii mimi naomba kuuliza kwenye ndoa kama kuna mgogoro mama kumnyima baba tendo la ndoa ni sahihi au ndio kubomoa zaidi?mimi nadhani hapo tunakaribisha nyumba ndogo au?au hapo baba atajirekebisha baada ya kunyimwa tendo la ndoa?naomba ushauri wa kina wanajamii