Habari wakuu.
Moja ya kazi za mwalimu ni kusahihisha(marking) na kupanga matokeo. Okoa muda wa kufanya zoezi hili kwa kutumia Ms excell iliyoratibiwa ambapo wewe utarekodi Jina na marks tu za mwanafunzi kisha Excell itafanya yafuatayo.
1.Jumla ya marks kwa masomo uliyorekodi
2.Idadi ya masomo
3.Wastani
4.Daraja
5.Nafasi Darasani
6.Maelezo ya daraja mfano, vizuri, wastani au dhaifu.
Sawa. Najua baadhi ya mazingira magumu ila tujitahidi.Mnaweza kutafuta kompyuta moja ikawa kwa mwalimu wa Taaluma, kisha walimu wengine wote mkasubmit majina na marks yeye akapanga matokeo.
Sawa. Najua baadhi ya mazingira magumu ila tujitahidi.Mnaweza kutafuta kompyuta moja ikawa kwa mwalimu wa Taaluma, kisha walimu wengine wote mkasubmit majina na marks yeye akapanga matokeo.
Fikiria nishati ni kikwazo, si maeneo yote yameunganishwa na umeme, na kawaida ni kwamba shule nyingi hapa Tanzania hata kama ni mijini bado hazina umeme