Mbona anaonekana kama mwanamke?Mbona kama jiwe
TrueMama Samia Suluhu, amemshika mtoto Tanzania anamuongoza kwa kufuata principles za mzee baba JPM japokuwa hayupo ila ameshikilia koti lake (stail yake ya uongozi)
Kuna TAKATAKA mnafurahia sana mateso na danu za watu.Uyo idriss anatafuta anachotaka na atakipata tu maana tangu msiba umeanza anataka ingiza comedy zake kwenye vitu serious na atajaa tu acheni anendelee wanamzoom tu
Mbona picha haina uchochezi wowote? Mtoto ni Tanzania, mwanamke ni mama Samia akiongoza huku akifata nyayo za Magufuli.Uyo idriss anatafuta anachotaka na atakipata tu maana tangu msiba umeanza anataka ingiza comedy zake kwenye vitu serious na atajaa tu acheni anendelee wanamzoom tu
Duh... Picha inatisha hiyoo...