Wana yanga wenzangu wenye mapenzi mema na hii team mimi kwa upande wangu aina ya mpira anao ucheza yanga siulewi mimi kwa upande wangu nashindwa kuelewa kama ni mfumo mbovu au tatizo ni nini.
Kwa sababu hata kama ni mpira wa kaunta attack si kwa staili hiyo mpira hata hauna burudani ni kubutua tu,kuparamiana n.k utafikili ni soka la mchangani.
Je,tatizo ni wachezaji wenyewe wanashindwa kumuelewa kocha au tatizo ni kocha mwenyewe na aina ya ufundishaji? Hivi kweli kwa soka hilo naloliona huko club bingwa africa si asubuhi tu yanga atolewa.
Kimsingi mwinyi zahera kajitahidi kuleta nidhamu ya wachezaji lakini sasa kwa aina ya mpira anao ufundisha simuelewi
Kwa sababu hata kama ni mpira wa kaunta attack si kwa staili hiyo mpira hata hauna burudani ni kubutua tu,kuparamiana n.k utafikili ni soka la mchangani.
Je,tatizo ni wachezaji wenyewe wanashindwa kumuelewa kocha au tatizo ni kocha mwenyewe na aina ya ufundishaji? Hivi kweli kwa soka hilo naloliona huko club bingwa africa si asubuhi tu yanga atolewa.
Kimsingi mwinyi zahera kajitahidi kuleta nidhamu ya wachezaji lakini sasa kwa aina ya mpira anao ufundisha simuelewi