Kwa wale wanaume wenye tabia ya kususa

Kwa wale wanaume wenye tabia ya kususa

We jamaa ni ME au KE,.... Post zako nyingi unaandika as if ni KE, ajabu sasa avatar ni ME.. Au unawasemea wakuone wewe perfect... Una experience gani na unayoyaandika ukiwa wewe ni ME..... Duuh, Kuna namna sio bure.... Huishi kuwasema wanaume,......
Atakua ana Me na Ke, milio ya mbuzi
 
Ni ajabu sana Tabia za kununa nuna zinawatafuna sana wanaume wa sasa!! Sasa mtu unanuna ili iweje? Maana hata kama bibie kakukosea tumia prestige yako ya uanaume uliojaaliwa kumdhibiti mwanamke na sio kumnunia! Wewe unune yeye nae anune inakua kama vile wote mnaenda hedhi maana kipindi cha MP mwanamke ndo huwa na hasira za kununa, hebu acheni hizo Wanaume wenye vijitabia hivi
 
Ni ajabu sana Tabia za kununa nuna zinawatafuna sana wanaume wa sasa!! Sasa mtu unanuna ili iweje? Maana hata kama bibie kakukosea tumia prestige yako ya uanaume uliojaaliwa kumdhibiti mwanamke na sio kumnunia! Wewe unune yeye nae anune inakua kama vile wote mnaenda hedhi maana kipindi cha MP mwanamke ndo huwa na hasira za kununa, hebu acheni hizo Wanaume wenye vijitabia hivi
Dah, umeongea points tupu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom