Kwa wale wanataka wanawake wa roboti midoli wanauzwa Japan

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,319
33,125
Roboti.jpg
Roboti wanawake.jpg

Watu wa mashini (ROBOTS) sasa kutengenezwa na hisia za kufanya mapenzi

Wanawake waliotengenezwa na mashini maarufu ROBOTS ,sasa watatengenezwa wakiwa na hisia za kufanya mapenzi kama mfano wa binadamu.

Maroboti hawa waliotengenezwa katika nchi ya Japan wamekuwa kipato kinono kwa wafanyibiashara kwani wanaume wanawanunua na kuwafanya wapenzi wa chumbani.

Kate Darling mtaalamu wa idara ya uundaji wa marobot hawa anasema mjadala wa utata kuhusu matumizi ya mashini hizi unaonyesha namna halisi ya fikra za binadamu.

Je MAROBOT hawa wa kike wakifika madukani Afrika utanunua? Toa maoni yako
chanzo.CRI Kiswahili
 
Akiwa na chura inayoeleweka ntanunua.
Flatscreen no please!
 
Inabdi awe na inye ya ukweli (Le super kabang) + super mtindiz u kno.


Hapo lazma tujitwalie ma ghettoni.
 
Hao Hawazai Watoto Kwangu Hapana!!!
Tutaendelea Wengine Na Wabongo Wenzetu Wazuri Wenye Mvuto Mizinga Na Kuelewana
 
Mkuu ukiwakung'utia manii humo wanaenda kujisafisha wenyewe au?
 
Kwanza kabisa nihakikishiwe usalama wa nanihiliu yangu... isije kukatwa huko kunako!
 
View attachment 353668 View attachment 353669
Watu wa mashini (ROBOTS) sasa kutengenezwa na hisia za kufanya mapenzi

Wanawake waliotengenezwa na mashini maarufu ROBOTS ,sasa watatengenezwa wakiwa na hisia za kufanya mapenzi kama mfano wa binadamu.

Maroboti hawa waliotengenezwa katika nchi ya Japan wamekuwa kipato kinono kwa wafanyibiashara kwani wanaume wanawanunua na kuwafanya wapenzi wa chumbani.

Kate Darling mtaalamu wa idara ya uundaji wa marobot hawa anasema mjadala wa utata kuhusu matumizi ya mashini hizi unaonyesha namna halisi ya fikra za binadamu.

Je MAROBOT hawa wa kike wakifika madukani Afrika utanunua? Toa maoni yako
chanzo.CRI Kiswahili
Mkuu kumbe placebo effect sio kwenye dawa tu daah
 
Back
Top Bottom