Kwa wale wanaosoma China haya ndiyo maelekezo ya Serikali.

Tunaongozwa na watu wenye maono madogo sana, pia wachoyo na wanyeroho mbaya. Mtazamo wangu lakini!
 
Algeria wameshaisoma namba, China ndo wanaisoma. Bado Urusi, Cuba, India, Malaysia, Msumbiji n.k
 
Algeria wameshaisoma namba, China ndo wanaisoma. Bado Urusi, Cuba, India, Malaysia, Msumbiji n.k
Russia tayari mda mrefu nilikuwepo Moscow nimefanya lugha mwaka wa lwanza mwaka huu ndo tulikuwa tunaaanza masomo lkn naona hali si hali coz nnapermit ya kuishi huku kwa miaka minne ngoja nikomae na ujasiriamali for 4years mpk sasa serikali imegoma kuingiza pesa.maisha huku ni gharama lkn ukipata demu wa ki russia na akakubali daaaah maisha yanasonga bila shuruti
 
Back
Top Bottom