Kwa wale wanaoifaham vizuri kozi ya Science in Information Technology

Kwa wale wanaoifaham vizuri kozi ya Science in Information Technology

Ally Msafi

Member
Joined
Sep 25, 2015
Posts
23
Reaction score
0
Habari wakuu
Naulizia kuhusu changamoto zilizopo katika hiyo kozi tajwa hapo juu na upatikanaji wake wa ajira
 
Kwanza kabisa Ajira n juhudi yako mwenyewe, kumbuka kozo hizi za IT mara nying haziitaji watu wengi kama vile Account, BBF nk katika IT mtu mmoja anaweza kufanya kazi hata ya watu wengi ,
Changamoto n Vyuo vingi vimejikita katika Theory kuliko practical
 
Kwanza kabisa Ajira n juhudi yako mwenyewe, kumbuka kozo hizi za IT mara nying haziitaji watu wengi kama vile Account, BBF nk katika IT mtu mmoja anaweza kufanya kazi hata ya watu wengi ,
Changamoto n Vyuo vingi vimejikita katika Theory kuliko practical

asante sana mkuu kwa mawazo yako mazuri..!
 
Back
Top Bottom