Kwa wale waliowahi kufanya interview TRA pitia hapa

Kwa wale waliowahi kufanya interview TRA pitia hapa

Hizi Ndo akili Finyu Tunazozipigia Kelele mtu alifanya Interview mwaka 2005 ambapo wasailiwa walikua 120 anakuja analinganisha na Mwaka 2017 ambapo wameita Wasailiwa 29,700


Katika watu 29,700 nawaambia Mtihani lazima Uwe Competitive usibweteke Pepa Itakua ngumu we Mwenyewe haushangai Watu 29,000 interview hii imevunja Record.

Aisee! Watu wote hao mnafanyia hiyo interview wapi? Kwenye "Uwanja wa Mpira" au? Kazi kweli kweli
 
WAKUU NAWATAKIA KILA LA HERI KWENYE HYO MECH YA MPIRA WA YANGA VS SIMBA

WATU 29000 HATARI SANA.. MAGU APUNGUZE NYOMI KITAA, AWEKE HATA WATENDAJI WA KIJIJI WA DEGREE KWENYE VIJIJI VYOTE, KATA ZOTE, TARAFA ZOTE.

MWISHO, HAPO SI AJABU WENG WANA KAZ ZAO ILA WANAIFUATA TRA..
 
acha kutisha watu...kuna watu wa land management na economics mule hizo acts wamezisomea wapi?
Siko hapa Kutisha watu naongelea Ukweli kuna Mwaka Walitangaza Afisa Ushirika Tukapiga Pepa Aisee ni Ushirika Tupu! Wakati watu wa Economics walikuepo na BA accounting, BAF
 
Siko hapa Kutisha watu naongelea Ukweli kuna Mwaka Walitangaza Afisa Ushirika Tukapiga Pepa Aisee ni Ushirika Tupu! Wakati watu wa Economics walikuepo na BA accounting, BAF
Hua tukiwaeleza ukweli wanaona tunawatisha, akawaulize wale walioenda kufanya written iliyosimamiwa na NBAA Bunju march 2016
 
Please Utumishi huwa hawatoi Maswali ya General wanatoaga ya Professional

Pia TRA wenyewe huwa hawatoi Maswali ya General Make wangu alipiga mwaka 2015 ni Darasani tuu mzee.

Watu mnapenda sana Mitihani ya General narudia pepa mnazopiga Kwenye financial institutions ni tofauti na Utumishi.

Shika ACT
Shika Calculator
Shika Kalamu

Jiandae na Usaili na kama huna knowledge ya Tax umeshachelewa you huwezi kujiandaa kwa sasa ukafaulu.


-Tax ni kubwa sana Study material
-NBAA public finance &Taxation 1
-NBAA-public finance &Taxation 1
-Income Tax 2004 Revised 2008
-VAT Act 1997 Revised 2014
-Public Finance Act 2017
-The Tanzania Revenue Act
-Tanzania Tax Administration Act
-EFD regulations Act
-The East African Customs Management Act 2004
-Motor vehicle Act
Usisahu Kusoma
-Khothari- Research Methodology.


Ni ngumu sana kwa mtu uliyekua husomi niliona wajanja wali appload material wakawa wanasoma baada ya Ku apply itawasaidia kidogo.
Unaruhusiwa kuingia na Act? na Act ipi?
 
Kwa akili hizi najua kabisa nauhakika kabikosa ulikosa empty head
 
Back
Top Bottom