Kwa wale waliosoma SUA na Wanaosoma SUA

Kwa wale waliosoma SUA na Wanaosoma SUA

Mtarban

JF-Expert Member
Joined
Jan 14, 2015
Posts
3,936
Reaction score
5,209
kwa wale waliowahi kuosma SUA na wale mnaoendelea na Masomo katika chuo kikuu cha Kilimo, SUA Naomba kuuliza je, hapo chuoni wanaruhusu kuhama kozi/degree programme yaani kutoka kozi moja unayokuwa umepangiwa awali kwenda kozi nyingine?

karibuni watu Wa SUA, Najuwa humu jf mpo wengi sana
 
Unaruhusiwa kuhama mapema kabla ya semister ya kwanza haijafka hata robo la cvyo utahama kwa kuanza upya. Mi mwenyw nlihama ila ndan ya wk moja baada ya kuingia clac.
 
Unaweza kuhama ila ufanye haraka kabla ya mambo kuanza

usirudie kuomba kozi ambayo huna mpango nayo
 
Unaruhusiwa kuhama mapema kabla ya semister ya kwanza haijafka hata robo la cvyo utahama kwa kuanza upya. Mi mwenyw nlihama ila ndan ya wk moja baada ya kuingia clac.

Asante sana ndugu kwa majibu yako
 
Unaweza kuhama ila ufanye haraka kabla ya mambo kuanza

usirudie kuomba kozi ambayo huna mpango nayo

Asante sana ndugu! kweli kabisa lakini si unajuwa mfumo Wa mwaka huu inabidi uaangalie kozi yoyote hata ya kuingilia chuo Fulani vinginevyo hata chuo haupati
 
Asante sana ndugu! kweli kabisa lakini si unajuwa mfumo Wa mwaka huu inabidi uaangalie kozi yoyote hata ya kuingilia chuo Fulani vinginevyo hata chuo haupati
Kwel yan unaingilia koz yeyote then unabadil ..ukikaria kukomaa Mara ooo ndoto yang..utasugua bench mwaka mzima kitaa mpaka mwenyew utashangaa..hii ndo tzzz
 
Hiv kuna uezekano wa kuhama chuo kutoka chuo kingne ulichopangiwa kuja SUA na Utaratibu upoje kwa anaejua
Yah inawezekana ila utaratibu bado cjaujua so km vp nenda chuoni utapewa utaratibu wa kuhama, ila km una mkopo basi watasitisha kwa siku 90 wkt taarifa zako zikihamishiwa kweny chuo unachohamia
 
Yah inawezekana ila utaratibu bado cjaujua so km vp nenda chuoni utapewa utaratibu wa kuhama, ila km una mkopo basi watasitisha kwa siku 90 wkt taarifa zako zikihamishiwa kweny chuo unachohamia
Mmmh kwani anahama chuo au course?
 
Kuhama unahama tuu vyovyote unavyotaka. Ni ufaulu wako tuu. Ila iwe mapema kabla ya deadline yao.
 
Inawezekana ila pia performance wanaangalia kulingana na course unayohamia
 
ni kweli unahama ila kama huna qulification za course unayotaka kuhamia watakugomea
 
Back
Top Bottom