Huyo ni Mdogo wake. Yeye anaitwa Joakim Sangu, na Huyo Askof wa shinyanga anaitwa Liberatus Sangu
Huyo ni Mdogo wake. Yeye anaitwa Joakim Sangu, na Huyo Askof wa shinyanga anaitwa Liberatus Sangu
Anzisha Uzi wako mkuu ucjalitunakoment
Yaani wewe Mungu akusamehe Burr tunasikia seminarini na kufirana tu
Mzee keya bado yupo? Basi hata mwl Nyamuhanga atakuwepo piaMzee keya bado yupo
Fr Chilewa alikufanyany? Mbona alikua poa tu. Maisha ya seminary ni raha sanaKwa wale wa Lighano, bado namchukia sana Father Chilewa, ila Nchimbi (pope) alikuwa poa sana. Da! Ila sitakaa nisahau Father Deo Mapunda (RIP) alivyotuchimbisha miti wakati wa kutengeneza mashamba mampya. Ila tuliiba sana kuku na kuwachinja na kuwabanika usiku wa manane. Maisha ya seminari yalikuwa na raha na karaha nyingi sana. But thanks GOD ndio yamenifanya nijue maisha na kuwa na elimu isiyo na mgogoro
Jamani mbona una hukumu hivi mkuu....?nyie waseminary wa kikatoliki wengi wenu ni wajinga na wapumbavu kabisa, huku chuoni ndio mnongoza kwa ufuska, hamsali tena eti mshasali sana, waoga kumkiri kristo hata wengine hamtaki kujiita wakristo, huu ni unafiki na uzandiki, kanisa limewapa elimu bora badala ya kuitumia kulisaidia kanisa na taifa mmekengeuka, badilishen njia zenu na muungame mmurudie kristo, anaebisha juu ua haya tafadhali awaangalie WENGI wa waseminary waluoko vyuoni ni aibu kubea kwa kanisa katoliki.
Oops!Ndio maana ulifukuzwa! Hata hivyo Rubya ya enzi hizo za Fr. RWOMA, siyo ya wakati wako!
Hahahaha Mwajamila alikuwa noma Msule dah RIP Fr.Kiswaga.Dar napamisi sana st.maryz MBALIZI seminary pale MBEYA,,,,,,chini ya baba Gombera KISWAGA,,,,,,,,padre Mwajamila yan ful ubabe,,,,,kutoroka kwenda mapelele,,,jiti na iwanga,,,,sunspension 3 yani niligraduate kimagumashi sana
😁Yule father alikua na tabu yake pia na raha yake,,saizi yupo ufilipinoKwa wale wa Lighano, bado namchukia sana Father Chilewa, ila Nchimbi (pope) alikuwa poa sana. Da! Ila sitakaa nisahau Father Deo Mapunda (RIP) alivyotuchimbisha miti wakati wa kutengeneza mashamba mampya. Ila tuliiba sana kuku na kuwachinja na kuwabanika usiku wa manane. Maisha ya seminari yalikuwa na raha na karaha nyingi sana. But thanks GOD ndio yamenifanya nijue maisha na kuwa na elimu isiyo na mgogoro
😁😁😁seminarin raha bana acha kabisa!nimepamiss stella matutina(ligano) class letu lilikua ful utani!nimeyamiss sana maisha yaseminary yani ful discipline,utani kwasana plus fr.wetu huyu clarence chilewa ful raha!i miss those joyful moments in seminary....
Mkuu umemaliza mwaka gani pale lighano?Fr Chilewa alikufanyany? Mbona alikua poa tu. Maisha ya seminary ni raha sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Mpishi wa shule na mwal. wa kiswahili
Milele Amina karibu. Rwaichi kashatukumbuka Wana DAR.T.Y.K.
Nimewakumbuka Sana Ndugu Zangu!! Nilikuwa Jangwani Kipindu chote hiki na mamonaki wengine nikitafakari Makuu ya Mungu!!! Nimerejea Tena Ndani Ya Jamii Forum