Ally96
Member
- Jul 16, 2013
- 32
- 4
Habarini za kwenu wandugu,
jana nmetoka huko kuona hiyo shule ukizingatia n mpya so nlienda kuiangalia ipo vipi jaman kama umechaguliwa huko usithubutu kuhama au kuacha kwenda in short shule inadhaminiwa na wabelgiji na ina kila facilities ambazo shule hata za private hazina acha niwatajie kidogo nnazozikumbuka
1.laboratories tatu zenye kila kitu kuanzia preparation room,store,chemicals,nk
2.computer room with full internet connection
3.modern library
4.school hospital
5.madarasa yote yapo full equiped feni kila kona madawati yote mapya
6.bwalo la chakula lenye uwezo wa kubeba wanafunzi mia tisa
7.conference room yenye uwezo wa kubeba 900 students
8.hakuna sehemu unakanyaga chini kila sehemu imepigwa rafu na juuu yake paa limepita hadi mabwenini
9.viwanja vyote vya mpira tena na jukwaa la watazamaji
JAMAN N VINGI NA MIKONO ISHAANZA KUNIUMA
10.kama unatokea dar ukishavuka wami kituo kipo kwa juu tuu kinaitwa mandela ukisshashuka unaweza pata bodaboda waambie unaenda miono mpya ila sema n mbali kama elfu saba hivi sema kama huna haraka kuna gari zinapita
jana nmetoka huko kuona hiyo shule ukizingatia n mpya so nlienda kuiangalia ipo vipi jaman kama umechaguliwa huko usithubutu kuhama au kuacha kwenda in short shule inadhaminiwa na wabelgiji na ina kila facilities ambazo shule hata za private hazina acha niwatajie kidogo nnazozikumbuka
1.laboratories tatu zenye kila kitu kuanzia preparation room,store,chemicals,nk
2.computer room with full internet connection
3.modern library
4.school hospital
5.madarasa yote yapo full equiped feni kila kona madawati yote mapya
6.bwalo la chakula lenye uwezo wa kubeba wanafunzi mia tisa
7.conference room yenye uwezo wa kubeba 900 students
8.hakuna sehemu unakanyaga chini kila sehemu imepigwa rafu na juuu yake paa limepita hadi mabwenini
9.viwanja vyote vya mpira tena na jukwaa la watazamaji
JAMAN N VINGI NA MIKONO ISHAANZA KUNIUMA
10.kama unatokea dar ukishavuka wami kituo kipo kwa juu tuu kinaitwa mandela ukisshashuka unaweza pata bodaboda waambie unaenda miono mpya ila sema n mbali kama elfu saba hivi sema kama huna haraka kuna gari zinapita