kwa wale wa enzi ya mwalimu

englibertm

JF-Expert Member
May 1, 2009
9,252
6,207
374472_10151091147471375_683833260_n.jpg
 
  • Thanks
Reactions: awp
Enzi hizo elimu ilikuwa nzuri. Hadithi za vitabu hivyo zilikuwa nzuri. Walimu walikuwa wazuri ingawa wengi hawakuwa na elimu kubwa, hata hivyo walikuwa na maarifa na kujua jinsi ya kuishi na wanafunzi. Sasa mambo yamebadilika sana. "Old is Gold" wanasema Wakoloni.
 
  • Thanks
Reactions: awp
Back
Top Bottom