Si kwamba wanaishi bila hofu,ila ni kiburi tu walichonacho ndiyo kinaficha hofu zao ila hofu wanazo. Hakuna mwenye kupinga uwepo wa Mungu kisha nafsi yake ikawa ina utulivu,ukichunguza baadhi ya hoja zao utagundua hofu zao.Napata hisia kuwa baadi yetu wamkufuru mungu. Lkn jinsi wanakazia hoja zao, loooh!! Napata kujifunza zaidi. Yaani km mtu hana hofu ya mungu anaishije!!!
Mkuu hebu nielezee kuhusu hapo kwa instinct maana na mimi sielewi wanyama wanapata wapi maarifa ambayo hawajafunzwa wala ku experienceLet's look at this from a very high level point without getting into the debatable nitty gritties, in order to establish the logic of primary premises.
Are you saying that you cannot get highly complex systems from very simple initial conditions, billions of years and chance?
Is this what you are objecting?
If so, do you know that this is a logical fallacy?
Unapoandika "pengine kuna Mungu wa aina nyingine" unamaanisha nini? Mungu kwako maana yake nini?
Ni mnyama mkuu, tena vetebrate, maana makundi makuu mawili ya viumbe ni wanyama na mimea, sema inategemea na context thoughNdege pia ni ktk kundi la wanyama au ndege ni kindi linalojitegemea?
Mi nilivyomuelewa hajahitimisha, amesema pengine inaeza kuwa hivi au vile, maana yake ana formulate theories kwa ajili ya mjadalaLakini mkuu hayo yote yana majibunyake na paper zimeandikwa za kutosha zenye logic.
Ni kwamba ni uvivu tu wa kutafuta, ila uki gugo majibu utayapata yenye mantiki kabisa.
Mwenyewe kama nilivyokuwa najiuliza hayo maswali hapo juu, kutokuwa na majibu siwezi kusema ni Mambo ya Uumbaji wa Mungu, bali nasema Sijataka kuamua kujua, ila majibu yapo.
Hivyo kwa wewe kutokujua, usihitimishe kwamba kuna mungu mwingine.
Nimeona umezungumzia theory ya evolution na mutation inayosababishwa na mazingira kiasi kwamba viumbe kubadilika na kuadapt.
Ila ningekuona mjanja kama ungeleta paper mbalimbali ambazo zimezungumzia hiyo mambo na kuja kuzikosoa hapa.
Lakini mpaka sasa hujatafuta majibu ya maswali yako nje ya kujitengenezea majibu yako mwenyewe na kuona hayakidhi na kuja kuuliza hapa.
Anyway, mimi sijataka kujua kwasababu sioni umuhimu wake kwa sasa, ila naamimi ukitaka majibu yake utayapata.
Nakaribisha mjadala kwa wengine.
Mkuu hebu nielezee kuhusu hapo kwa instinct maana na mimi sielewi wanyama wanapata wapi maarifa ambayo hawajafunzwa wala ku experience
Tuludi kwenye madaJamaa Apollo kapotea sana jukwaani
Mkuu avatar yako inanikumbusha sana "Boardwalk Empire". Bonge la show.
Sababu ndogo, inavyoelezewa na natural selection katika evolution - evolution is not perfect, but it is better than "the God theory", ni kwamba, waliokuwa hawana instinct wote walikufa, wakabaki wale ambao wana instinct, na hao wenye instinct wakarithishana genes za instinct mpaka kila kizazi kikaweza kuwa na instinct zaidi.
Hebu tuchukue mfano, mfano wa jumla sana hivyo hauko accurate katika detail, bali unataka ku demonstrate point.
Chukulia mfano kwamba hapo zamani si watu wote walikuwa na uwezo wa kuhisi moto. Kulikuwa na wengine wanaweza kuhisi moto na wengine, kwa sababu za kibaiolojia za kwenye genes zao, hawawezi kuhisi moto.
Sasa sehemu za/msimu wa baridi watu hulala karibu na moto ili wapunguze baridi.
Na mara nyingi moto ule huwa unaweza kuunguza makazi na sehemu watu walipolala.
Sasa basi, jamii za watu wanaoweza kuhisi moto, mara moto ukianza kuunguza sehemu waliyolala, watajua kwa kuhisi moto, wataamka na kuuzima.
Lakini jamii ambazo haziwezi kuhisi moto, kwa sababu hiyo, hazitaweza kuhisi moto na watu wataungua na kufa.
Matokeo yake kizazi na kizazi, mamilioni au malaki ya miaka, watu ambao hawawezi kuhisi moto watapungua, mwisho wataisha kabisa, akitokea atatokea mmoja mmoja kama wa ajabu.
Wakati dunia nzima itakuwa na watu ambao wanaweza kuhisi moto tu.
Halafu watu watauliza. Hivi inakuwaje kila mtu anaweza kuhisi moto? Hisia za kuhisi moto zimetokea wapi? Kwa nini tunaweza kuhisi moto tunaungua na kujiondoa kwenye moto mara moja? Kwa nini hakuna watu ambao hawana hisia za moto wanaoweza kuwa na miguu yao inaungua moto bila wao kujua?
Hatujui kwamba walikuwapo, lakini kwa sababu ya "natural selection" ya evolution, wametoweka, kwa sababu wameungua sana wakaisha.
Ndivyo hivyo hivyo inavyotokea katika mambo mengi.
Tutashangaa, inawezekanaje ndege wanaweza kuruka maelfu ya kilometa kila kipupwe kwenda sehemu nyingine ya dunia, halafu wanaweza kurudi pale pale walipotoka?
Ni kwa sababu ya natural selection, imeenda huku ikiwaongezea nguvu za utambuzi wa sehemu duniani kama vile wana GPS, nguvu hizi zimeongezeka kwa vizazi vingi, ndege ambao hawakuwa na nguvu hizi walifariki kwa baridi kwa kushindwa kujua kuhama, wakabaki ndege waliojua tu, wakazaliana, na kila walipozaliana wakawa wanazidi kuongeza nguvu hizi (kwa sababu watoto wanarithi nguvu hizi kwa baba na mama).
Ndivyo natural selection ya evolution inavyosema. It makes more sense than "Mungu kawaumba hivyo" hata kama evolution na natural selection haziko perfect.
Soma zaidi hapa.
How birds use Earth's magnetic field to navigate
cc chinchilla coat
Hahaha, umemsahau yule black "Chalky White". Jamaa ana acting fulani so convincing, unaangalia show unajua hawa watu wana act tu, lakini yeye anaonekana kama gangster kweli vile, akitoka kwenye show anaweza kuua kweli.yeah, ni moja kati ya series zangu pendwa sana, naipenda sababu imechanganya historia na fiction, so inakua na eductive value kiaina, character uliyekuwa unamkubali ni nani mkuu? nucky thompson, Jimmy Darmordy, The Commodore, lucky luciano,joe maserria, giusseppe rossetti, al capone, arnold rothstein, Meyer Lansky.....?
Back to the topic unadhani,kwa jinsi mwanadamu anavyo i controll nature, na inakuwa ngumu kwa nature kum-shape binadamu i.e kuondoa binadamu dhaifu na kuacha wale imara na kizazi kinachofuata kuwa imara zaidi (natural selection) inatasababisha kizazi cha binadamu kuwa dahifu na hivyo kuja kupotea mapema?
Ok, sasa mkuu, nadhani kwa huo mfano wako wa wanyama ku develop hisia za moto na kuponea kuangamia umesema hata surviving features nyingine zili develop kwa staili hii,Mkuu avatar yako inanikumbusha sana "Boardwalk Empire". Bonge la show.
Sababu ndogo, inavyoelezewa na natural selection katika evolution - evolution is not perfect, but it is better than "the God theory", ni kwamba, waliokuwa hawana instinct wote walikufa, wakabaki wale ambao wana instinct, na hao wenye instinct wakarithishana genes za instinct mpaka kila kizazi kikaweza kuwa na instinct zaidi.
Hebu tuchukue mfano, mfano wa jumla sana hivyo hauko accurate katika detail, bali unataka ku demonstrate point.
Chukulia mfano kwamba hapo zamani si watu wote walikuwa na uwezo wa kuhisi moto. Kulikuwa na wengine wanaweza kuhisi moto na wengine, kwa sababu za kibaiolojia za kwenye genes zao, hawawezi kuhisi moto.
Sasa sehemu za/msimu wa baridi watu hulala karibu na moto ili wapunguze baridi.
Na mara nyingi moto ule huwa unaweza kuunguza makazi na sehemu watu walipolala.
Sasa basi, jamii za watu wanaoweza kuhisi moto, mara moto ukianza kuunguza sehemu waliyolala, watajua kwa kuhisi moto, wataamka na kuuzima.
Lakini jamii ambazo haziwezi kuhisi moto, kwa sababu hiyo, hazitaweza kuhisi moto na watu wataungua na kufa.
Matokeo yake kizazi na kizazi, mamilioni au malaki ya miaka, watu ambao hawawezi kuhisi moto watapungua, mwisho wataisha kabisa, akitokea atatokea mmoja mmoja kama wa ajabu.
Wakati dunia nzima itakuwa na watu ambao wanaweza kuhisi moto tu.
Halafu watu watauliza. Hivi inakuwaje kila mtu anaweza kuhisi moto? Hisia za kuhisi moto zimetokea wapi? Kwa nini tunaweza kuhisi moto tunaungua na kujiondoa kwenye moto mara moja? Kwa nini hakuna watu ambao hawana hisia za moto wanaoweza kuwa na miguu yao inaungua moto bila wao kujua?
Hatujui kwamba walikuwapo, lakini kwa sababu ya "natural selection" ya evolution, wametoweka, kwa sababu wameungua sana wakaisha.
Ndivyo hivyo hivyo inavyotokea katika mambo mengi.
Tutashangaa, inawezekanaje ndege wanaweza kuruka maelfu ya kilometa kila kipupwe kwenda sehemu nyingine ya dunia, halafu wanaweza kurudi pale pale walipotoka?
Ni kwa sababu ya natural selection, imeenda huku ikiwaongezea nguvu za utambuzi wa sehemu duniani kama vile wana GPS, nguvu hizi zimeongezeka kwa vizazi vingi, ndege ambao hawakuwa na nguvu hizi walifariki kwa baridi kwa kushindwa kujua kuhama, wakabaki ndege waliojua tu, wakazaliana, na kila walipozaliana wakawa wanazidi kuongeza nguvu hizi (kwa sababu watoto wanarithi nguvu hizi kwa baba na mama).
Ndivyo natural selection ya evolution inavyosema. It makes more sense than "Mungu kawaumba hivyo" hata kama evolution na natural selection haziko perfect.
Soma zaidi hapa.
How birds use Earth's magnetic field to navigate
cc chinchilla coat
1. Hawa develop feature inayoondoa udhaifu wao "from nowhere", nimeelezea vizuri hapo juu natural selection, hii ni process inayotumia mamia ya mamilioni mpaka mabilioni ya miaka kwa viumbe vikubwa mara nyingine.Ok, sasa mkuu, nadhani kwa huo mfano wako wa wanyama ku develop hisia za moto na kuponea kuangamia umesema hata surviving features nyingine zili develop kwa staili hii,
Swali, haishangazi kuwa wanyama kuwa na udhaifu fulani unaotishia kizazi chao, then 'from nowhere' wana develop feature inayoondoa ule udhaifu wao unaotishia kizazi chao kuangamia?
kwann usijiulze chanzo cha huyo MMOJA?Nikitizama anga wakati wa usiku na mchana ,ule mpangilio tu unaonyesha yupo mmoja aliyekaa na kupangilia mfumo mzima.
kwann niwe na hofu ya mungu wkt hayupo?Napata hisia kuwa baadi yetu wamkufuru mungu. Lkn jinsi wanakazia hoja zao, loooh!! Napata kujifunza zaidi. Yaani km mtu hana hofu ya mungu anaishije!!!
Let's look at this from a very high level point without getting into the debatable nitty gritties, in order to establish the logic of primary premises.
Are you saying that you cannot get highly complex systems from very simple initial conditions, billions of years and chance?
Is this what you are objecting?
If so, do you know that this is a logical fallacy?
Unapoandika "pengine kuna Mungu wa aina nyingine" unamaanisha nini? Mungu kwako maana yake nini?
The Bible says,"The stupid has said God does not exist".
Ni bora ya mjinga anaweza kuelimishwa na akaelewa, wewe ni mpumbavu na utakufa na upumbavu wako.
Ok, mkuu from evolutionary point of view, ni kwa nini binadamu ambao asili yao ni Southern Hemispehre (Africa, Australia, South America) wapo dark skinned, na less developed kuliko wanaopatikana Northern Hemisphere (Europe, North america na Asia)?Hahaha, umemsahau yule black "Chalky White". Jamaa ana acting fulani so convincing, unaangalia show unajua hawa watu wana act tu, lakini yeye anaonekana kama gangster kweli vile, akitoka kwenye show anaweza kuua kweli.
Back to the topic.
Hiyo theory yako ina ukweli fulani. Mathalani, watoto wa siku hizi, hususan wa mijini wanaokulia ndani, wanasumbuliwa sana na vigonjwa vya mafua mafua na vingine vidogo kama allergies (certainly in North America) kwa sababu wamekuwa shielded sana kutoka mazingira. Mtoto tangu anakua anakua sehemu safi safi tu hapati vi bacteria bacteria vya kum test immunity system yake na kuifanya iwe na nguvu zaidi.
Hili ni tatizo.
Lakini pia, kuna dhana inakuja kusikika kwa nguvu sasa ya kwamba watu tunatokakatika evolution by natural selection na tunaenda kwenye evolution by gene engineering. Kwamba tutachagua wenyewe ku control evolution kwa ku control DNA.
Mathalan somahii article wanasayansi wa rutgers University wameweza kuona genes zinazosababisha magonjwa ya kisaikolojia
a https://www.biospectrumasia.com/new...g-for-the-first-time-to-detect-tourettes.html
Mapema mwaka huunilikuwa nasoma vitabu viwili vya Profesa Yuval Noah Harari "Sapiens: A Brief History of Humankind" na "Homo Deus: A Brief History of Tomorrow". Professor Harari anaongelea sana hili jambo lakwamba sasa tunaondoka kutoka evolution by natural selection na tunaenda kwenye evolution by genetic engineering (hence "Homo Deus" the God Man).
So perhaps technological advancement would be able to eradicate someof the concerns. There is already an antibody that seems to be able to kill9 9% of the existing HIV viruses in testing.
See here New antibody attacks 99% of HIV strains
But then again,this advancement reminds me of a science fiction story - I believe it was by Arthur C. Clarke,I used tolove his books when I was in secondary school.The plot of the story goes like this, some scientist develops the cure for the common cold (the common cold has no cure up to today, it is caused by a virus, viruses are very hard to kill) so this scientist develops a cure. People are very happy.They start testing. People are cured. If you are cured once, you don't get a cold again in your life.
So everybody is very happy with this new invention.
And then people start to notice something. All those who have been cured, lose their sense of smell.
At first it starts slowly, then it is quite noticeable that they cannot smell at all.
The story illustrated that leaping scientific advancements must be taken with a lot of caution and rigorous testing, since they could easily introduce unintended consequences.
I hope we won't see that.
Kuna uchunguzi unasema rangi inahusiana zaidi na follate na vitamin d with relation to ultaviolet light.Ok, mkuu from evolutionary point of view, ni kwa nini binadamu ambao asili yao ni Southern Hemispehre (Africa, Australia, South America) wapo dark skinned, na less developed kuliko wanaopatikana Northern Hemisphere (Europe, North america na Asia)?