Kwa wale msioamini Mungu na uumbaji, je wanyama wanatoa wapi 'instinct' zao?

1. Hawa develop feature inayoondoa udhaifu wao "from nowhere", nimeelezea vizuri hapo juu natural selection, hii ni process inayotumia mamia ya mamilioni mpaka mabilioni ya miaka kwa viumbe vikubwa mara nyingine.

Wwale ambao wana natural advantage huwa outnumber wasio na natural advantage kizazikwa kizazi, mpakawasio na natural advantage wanapotea kabisa wanabaki wenye natural advantage tu.

Lets say kunaugonjwa unaosababishwa na mdudu X, halafu kuna population ya watu 1000.

Katika hao watu 1000, watu wenye natural resistance ya ugonjwa huu ni 200 tu, 800 hawana resistance.

Kikawaida, kamahakuna ugonjwa,wengi wataendelea kuzidi na wachache watapungua, kutokana na genetics being passed down.

Lakini katikahalihii, wale 800 watafariki disproportionately - other factors being equal- kwa sababu wao wako exposed na ugonjwa huu, wale 200 hawatakufa kabisa kwa ugonjwa huu.

Kwa sababu wale wasio na natural advantage watakufa, na wale walio na natural advantage watabaki, basi ukifuatilia baada ya vizazi vingi,utakuta wale wasio na natural advantage wametoweka kabisa wamebaki wale wenye natural advantage tu.

Sijui kama umeelewa hilo.
Mimi nimekuelewa sana, ila labda wewe hujanielewa

Labda nijaribu kuelezea tena
Ni kwa mfano labda hii dunia labda ilikuwa na viumbe vya aina moja vinavyoishi ardhini, then kukatokea majanga ya kiasili pengine ,ardhi ikawa sio habitable tena, ila angani tu na majini tu....so hao viumbe watajipaje mbawa za kupaa na matamvua ya kupumua majini ambayo hawana ili wa survive?

Au mabadiliko yakiwa ya ghafla sana wanakufa wote badala ya ku evolute?
 
Mimi nimekuelewa sana, ila labda wewe hujanielewa

Labda nijaribu kuelezea tena
Ni kwa mfano labda hii dunia labda ilikuwa na viumbe vya aina moja vinavyoishi ardhini, then kukatokea majanga ya kiasili pengine ,ardhi ikawa sio habitable tena, ila angani tu na majini tu....so hao viumbe watajipaje mbawa za kupaa na matamvua ya kupumua majini ambayo hawana ili wa survive?

Au mabadiliko yakiwa ya ghafla sana wanakufa wote badala ya ku evolute?
Through natural selection over billions ofvyears kama nilivyoelezea hapo juu.

Si kitu kinachotokea mwaka mmoja au miwili kwa viumne wakubwa.

Mfano mzuri wa kuelewa natural selection kwa muda mfupi kwa binadamu nibkuangalia vimelea vidogo (parasites, bacteria etc) kwa sababu hao wanabadilika haraka.

Unajua kwa nini chloroquine ilikuwa inatibu Malaria kirahisi miaka ya nyuma na sasa hivi haitibu?

Unajuabkwa nini tetracycline ilikuwa inatibubmagonjwa kibao ya bacteria na sasa hivi haitibu?

Evolution bybnatural selection.

Wadudu ambao wameeeza kuuawa na hizo dawa washakufa karibubwote, wachache walio evolve ku develop resistence ya hizo dawa wamepata nafasi ya kuzaana kwa wingi kiasi kwamba sasa waliobaki karibu wote wanaweza ku resist hizo dawa.

Kwa hiyo vizazi vya sas vya hawa wadudu ukimeza chloroquine au tetracycline huviui.

Kwa nini? Evolutiin by natural selection.

Sasa badala ya tetracycline au chloroquine, unaweza ku substitute anything, ultraviolet rays, predators, etc lakini process ni ike ile.

Kuna kitu kibaya kwa kizazi kinatokea, wengibwanakuwa hawawezi kukishinda. Wachache wana mutate randomly kuweza kukishinda. Wanao mutate kuweza kukishinda wana advantage ya kuweza kuishi na kuzaliana over wasioweza kukishinda. Over many generations, wasioweza kukishinda wanafutika, wanaoweza kukishinda wanaongezeka. Uki multiply over billions of years evolution inakupa ebd result ambayo ni tofauti sana na ulipoanzia.
 
Through natural selection over billions ofvyears kama nilivyoelezea hapo juu.

Si kitu kinachotokea mwaka mmoja au miwili kwa viumne wakubwa.

Mfano mzuri wa kuelewa natural selection kwa muda mfupi kwa binadamu nibkuangalia vimelea vidogo (parasites, bacteria etc) kwa sababu hao wanabadilika haraka.

Unajua kwa nini chloroquine ilikuwa inatibu Malaria kirahisi miaka ya nyuma na sasa hivi haitibu?

Unajuabkwa nini tetracycline ilikuwa inatibubmagonjwa kibao ya bacteria na sasa hivi haitibu?

Evolution bybnatural selection.

Wadudu ambao wameeeza kuuawa na hizo dawa washakufa karibubwote, wachache walio evolve ku develop resistence ya hizo dawa wamepata nafasi ya kuzaana kwa wingi kiasi kwamba sasa waliobaki karibu wote wanaweza ku resist hizo dawa.

Kwa hiyo vizazi vya sas vya hawa wadudu ukimeza chloroquine au tetracycline huviui.

Kwa nini? Evolutiin by natural selection.

Sasa badala ya tetracycline au chloroquine, unaweza ku substitute anything, ultraviolet rays, predators, etc lakini process ni ike ile.

Kuna kitu kibaya kwa kizazi kinatokea, wengibwanakuwa hawawezi kukishinda. Wachache wana mutate randomly kuweza kukishinda. Wanao mutate kuweza kukishinda wana advantage ya kuweza kuishi na kuzaliana over wasioweza kukishinda. Over many generations, wasioweza kukishinda wanafutika, wanaoweza kukishinda wanaongezeka. Uki multiply over billions of years evolution inakupa ebd result ambayo ni tofauti sana na ulipoanzia.
Mkuu nina swali jingine, hivi viumbe wanaoishi kwenye mazingira magumu ukiwapeleka kwenye mazingira mazuri zaidi watageuka kuwa dhaifu na kizazi chao kupotea?

Mfano kuna mbuzi wa milimani wale, wanaishi jangwani ambako maji na majani yanapatikana kwa shida sana, hawa ukiwapeleka kwenye mbuga za kawaida baada ya muda itakuaje?

mfano mwingine ni wa ile mimea inayoota jangwani...... kuna mmea unaota wakati wa mvua jangwani, kisha unatoa maua na mbegu haraka, mvua ikikata mbegu zinakuwa zimekomaa na kudondoka ardhini....mbegu zinaweza kukaa hata miaka 10 hai mvua isiponyesha hazioti, ikinyesha zinaota, sasa mmea kama huu nikueleta sehemu inayonyesha mvua nyingi kwa mwaka itakuaje???
 
Mkuu nina swali jingine, hivi viumbe wanaoishi kwenye mazingira magumu ukiwapeleka kwenye mazingira mazuri zaidi watageuka kuwa dhaifu na kizazi chao kupotea?

Mfano kuna mbuzi wa milimani wale, wanaishi jangwani ambako maji na majani yanapatikana kwa shida sana, hawa ukiwapeleka kwenye mbuga za kawaida baada ya muda itakuaje?

mfano mwingine ni wa ile mimea inayoota jangwani...... kuna mmea unaota wakati wa mvua jangwani, kisha unatoa maua na mbegu haraka, mvua ikikata mbegu zinakuwa zimekomaa na kudondoka ardhini....mbegu zinaweza kukaa hata miaka 10 hai mvua isiponyesha hazioti, ikinyesha zinaota, sasa mmea kama huu nikueleta sehemu inayonyesha mvua nyingi kwa mwaka itakuaje???
Kosa moja kubwa sana linalofanywa na watu wengi ni kufikirikwamba evolution ina direction fulani inayoifuata.

Kuna ushahidi mchache sana kuonyesha kwamba evolution ina direction fulani, ukiacha ile ya kuendeleza maisha tu.

Kwa hiyo, tuchukue mfano wa mbegu hizo za jangwani.Katika hizo mbegu, yamkini nyingi zishazoea mazingira hayo ya uchache wa mvua, na nyingi zikipata maji mengi zinaweza hata kufa, kwa sababu hazijazoea.

Lakini, kati ya hizo, kuna chache zitaweza kustawi vizuri hata kwenye maji mengi.

Sasa, hali ya hewa ikibadilika ghafla, au zikichukuliwa na kupandikizwa sehemu yenye mvua nyingi, kama mambo mengine yote yakibakisawa, nyingi zitakufa. Ila kuna chache zitaweza kuendelea. Sasa,zile zitakazoweza kuendelea zitapata uwezowa kuzaana zaidi, na kwa sababu zisizoweza kuendelea nyingi zitakufa, zitakazopata nafasi ya ku germinate/ pollinate ni zile zenye uwezo wa kuendelea. Kw ahiyo baada ya vizazi kadhaa, zinazoweza kuendelea ndizo zinakuwa dominant, na zisizoweza kuendelea zinakuwa kamazimefutika.

Kwa hiyo kitu cha msingi cha kuangalia hapa simazingira mazuri au mabaya, ni kuangalia mbegu zipi zitaweza kuhimili mazingira.
 
Kosa moja kubwa sana linalofanywa na watu wengi ni kufikirikwamba evolution ina direction fulani inayoifuata.

Kuna ushahidi mchache sana kuonyesha kwamba evolution ina direction fulani, ukiacha ile ya kuendeleza maisha tu.

Kwa hiyo, tuchukue mfano wa mbegu hizo za jangwani.Katika hizo mbegu, yamkini nyingi zishazoea mazingira hayo ya uchache wa mvua, na nyingi zikipata maji mengi zinaweza hata kufa, kwa sababu hazijazoea.

Lakini, kati ya hizo, kuna chache zitaweza kustawi vizuri hata kwenye maji mengi.

Sasa, hali ya hewa ikibadilika ghafla, au zikichukuliwa na kupandikizwa sehemu yenye mvua nyingi, kama mambo mengine yote yakibakisawa, nyingi zitakufa. Ila kuna chache zitaweza kuendelea. Sasa,zile zitakazoweza kuendelea zitapata uwezowa kuzaana zaidi, na kwa sababu zisizoweza kuendelea nyingi zitakufa, zitakazopata nafasi ya ku germinate/ pollinate ni zile zenye uwezo wa kuendelea. Kw ahiyo baada ya vizazi kadhaa, zinazoweza kuendelea ndizo zinakuwa dominant, na zisizoweza kuendelea zinakuwa kamazimefutika.

Kwa hiyo kitu cha msingi cha kuangalia hapa simazingira mazuri au mabaya, ni kuangalia mbegu zipi zitaweza kuhimili mazingira.
Kwa hiyo hata hao mbuzi niliowataja pia ukiwapeleka kwenye savanna wata survive ila baada ya muda watapoteza feature zao za ku survive jangwani?
 
Kwa hiyo hata hao mbuzi niliowataja pia ukiwapeleka kwenye savanna wata survive ila baada ya muda watapoteza feature zao za ku survive jangwani?
Wata survive na kuweza hata ku evolve kuwa kitu kingine kilicho significantly different than hao mbuzi.

Au wanaweza kufa wote wasiweze ku survive kabisa, kutegemea na mutations.

Kuna wanyama walikuwa Siberia huko Russia wakiitwa "woolly mammoths", walikuwa kama tembo wenye manyoya, walikuwa wamezoea kuishi kwenye baridi kali,manyoya yao yaliwasaidia kukaa katikabaridi.

Dunia ilivyopungua baridi, na Siberia kukazidi joto kidogo walikufa (pamoja na uwindaji kuongezeka).

Wao kwao kupungua joto hakukuwa kitu kizuri, kulisababisha wafe mpaka wamalizike.

Hata hayo maua ya jangwani, inawezekana kabisa mvua zikizidi yakafutikakabisa, kwa sababu si uoto wa asili wa sehemuyenye mvua nyingi.

For more on woolly mammoths read the wiki here Woolly mammoth - Wikipedia
 
Back
Top Bottom