biggirl
Member
- May 25, 2012
- 66
- 12
Mhhh unamkuta mtu wako na pkt ya zana 3pc ila 1 imemis unamuuliza hii kitu kwenye gari inafanya nini?anajiumauma...unaanza kugomba kuwa majuzi tuu umeniambia kuwa hutodanganya tena utakuwa baba mzuri kwa mtoto wetu na utakuwa mwaminifu kwangu..kumbe ni uongo tuuu...
Yy kimya....unademand upate maelezo kuwa kaitumia na nani ..anakuuliza je utaweza kuhandle?...ww ..ndio ntaweza na unataka awe mkweli kwako...
mwishowe anakuambia ...wewe ni mwanamke wangu nakupenda sana wewe ni mama wa mtoto wangu na u gona be my wife...yes i made love to you i wana be with you.. but i freak other girls frm time to time at least im honest with you ..sijui ni kwa nini ila najikuta hivyo ......mwishowe unalalama ...wewe hunipendi ...yeye anasema mimi nakupenda ndio maana sitaki kuumiza hisia zako...
swali je huko ndio kupenda?
Haya sasa ukweli ndio huo ushaambiwa hivi kuna haja gani ya kumchimba mtu wako kwanini usipotezee tu ?
Yy kimya....unademand upate maelezo kuwa kaitumia na nani ..anakuuliza je utaweza kuhandle?...ww ..ndio ntaweza na unataka awe mkweli kwako...
mwishowe anakuambia ...wewe ni mwanamke wangu nakupenda sana wewe ni mama wa mtoto wangu na u gona be my wife...yes i made love to you i wana be with you.. but i freak other girls frm time to time at least im honest with you ..sijui ni kwa nini ila najikuta hivyo ......mwishowe unalalama ...wewe hunipendi ...yeye anasema mimi nakupenda ndio maana sitaki kuumiza hisia zako...
swali je huko ndio kupenda?
Haya sasa ukweli ndio huo ushaambiwa hivi kuna haja gani ya kumchimba mtu wako kwanini usipotezee tu ?