ShukranNakupa siri ya Massey ambayo wengi hawaijui. Yaliyosemwa hapo juu yote ni sahihi kuhusu MF.
Ugonjwa mkubwa wa MF ni Hydraulic system yake (mikono ya kuinua jembe) inachoka mapema na ikichoka haina dawa.
Mimi nina MF,New Holland na John Deer na zote nilimenya mpya....
385 ni kubwa kuliko 290? Unaangalia nn? Hizo namba au. Haupo sahihi. So ww unataka kuniambia 365 ni kibwa kuliko 290 sio290 ni 2wd. Ulaji wa mafuta ni nafuu kuliko 385. Ukitaka kujua tractor kama ni 2wd au 4wd angalia ukubwa wa matairi ya mbele kwa haraka haraka, japo vipo vigezo vingine. 385 inatumia mafuta mengi zaidi kwasababu ni kubwa zaidi na ni nzito zaidi.
Ila 385 itakuruhusu kulima kwenye maeneo korofi(magumu) na ina nguvu zaidi. Hiyo 385 itatumia kati ya lita 4 hadi 7 kwa eja moja ya kulima kama shamba halina changamoto. Usinunue massey ferguson ya pakistani, nunua ya kutoka uingereza(namaanisha nunua ambazo zimekua manufactured in uk)
Katika picha za tractor zilizotumwa humu na alieleta hii mada umeona wapi hiyo 365? Kuna sehemu umeona nikiongelea hiyo 365? Sijaangalia namba. 290 MF ni horse power kati ya 75 hadi 78 hivi bila kujali kama 2wd au 4wd(humu imewekwa picha ya 2wd), 385 MF ina hp kati ya 80 hadi 85 bila kujali pia kama ni 2wd au 4wd(humu imewekwa ya 4wd). Kwa vigezo hivyo nadhani utajua ipi ni kubwa.385 ni kubwa kuliko 290? Unaangalia nn? Hizo namba au. Haupo sahihi. So ww unataka kuniambia 365 ni kibwa kuliko 290 sio
Used mkuu kama tunavyonunua gari za mjapan usedUnataka jipya?
Umenena vyema.290 ni 2wd. Ulaji wa mafuta ni nafuu kuliko 385. Ukitaka kujua tractor kama ni 2wd au 4wd angalia ukubwa wa matairi ya mbele kwa haraka haraka, japo vipo vigezo vingine. 385 inatumia mafuta mengi zaidi kwasababu ni kubwa zaidi na ni nzito zaidi.
Ila 385 itakuruhusu kulima kwenye maeneo korofi(magumu) na ina nguvu zaidi. Hiyo 385 itatumia kati ya lita 4 hadi 7 kwa eja moja ya kulima kama shamba halina changamoto. Usinunue massey ferguson ya pakistani, nunua ya kutoka uingereza(namaanisha nunua ambazo zimekua manufactured in uk)
Mkuu shukrani sana kwa maelezo yako, naomba kujua kuhusu Newholland za Suma ni za kutoka nchi gani ?pia zipi changamoto zake?Nakupa siri ya Massey ambayo wengi hawaijui. Yaliyosemwa hapo juu yote ni sahihi kuhusu MF. Ugonjwa mkubwa wa MF ni Hydraulic system yake (mikono ya kuinua jembe) inachoka mapema na ikichoka haina dawa...
New holland za Suma nyingi ni TT75.Mkuu shukrani sana kwa maelezo yako,naomba kujua kuhusu Newholland za Suma ni za kutoka nchi gani ?pia zipi changamoto zake?
Ubarikiwe kwa maelezo mazuri. Kuna New Holland TT 65 inauzwa na kampuni ya CMC Motors au pia wanajiita Hughes Agriculture Ltd,naomba maelezo kidogo kama hautojali, pia kama una ABC ya New Holland za hawa jamaaNew holland za Suma nyingi ni TT75.
Engine maker: IVECO.
4 CYLINDERS.
LIQUID COOLED.
FUEL: DIESEL
ENGINE MODEL: BOOMER SERIES CASE DX...
Nilikua nawazo la kutafuta trekta na bajeti yangu iliku mill 20
Ntafanikiwa?
Mkuu vipi kuhusu URSAS hizi za NDCNakupa siri ya Massey ambayo wengi hawaijui. Yaliyosemwa hapo juu yote ni sahihi kuhusu MF. Ugonjwa mkubwa wa MF ni Hydraulic system yake (mikono ya kuinua jembe) inachoka mapema na ikichoka haina dawa.
Mimi nina MF,New Holland na John Deer na zote nilimenya mpya. Huo ndio ugonjwa wa Massey ambao kila mtu alie na Massey analia bila kujali ni U.K au Agroasia. Chukua New Holland (NH) TT75 DV series injini ya Iveco hutajuta. Au kama mfuko hauruhusu chukua Shangai New Holland CNH yenye injini model ya Boomer,Case DX series. Utaipata kwa bei chee kutoka China ikiwa mpya.
Mimi nipo Kalambo ranch ni mkulima nakupa experience sio maneno ya kusikia.
So soft kama hii hapaSpare zake sio imara kabisa na spare zake ni bei nafuu hadi unajikuta unacheka mwenyewe ila hazidumu kabisa. Too soft kwa mashamba yetu kama kuku wa kisasa.
Blacksamurai, nimekuelewa sana ndugu nimekua nikikuatilia juu ya ufafanuzi wako kiukweli nimepata elimu zaidi kupitia wewe umenipa nguvu ya kuwa na shauku ya kununua mashine ya kaziUkikwama sehemu tushirikishe pia. Tuendelee kusaidiana kadri tuwezavyo