Kwa wafanyabiashara wa dagaa na samaki

Kwa wafanyabiashara wa dagaa na samaki

Math2009

Member
Joined
Oct 24, 2008
Posts
15
Reaction score
1
Kama wewe ni mfanyabiashara wa dagaa au samaki, upo Dar, mi niko Mwanza, natoa service ya kukutafutia na kukusafirishia kwa njia ya basi, my service charge ni Tzs 35,000.


Screenshot_20221227-162927~2.jpg
 
Bei ya samaki Mwanza sasa hivi ikoje hebu tujuze
 
Dagaa wanapima aje mkuu kwa kg au ujazo wa ndoo
nipe mrejesho
 
Kama wewe ni mfanyabiashara wa dagaa au samaki, upo dar, mi niko Mwanza, natoa service ya kukutafutia na kukusafirishia kwa njia ya basi, my service charge ni Tzs 35,000.View attachment 2472115
Habari Mkuu
Kwa maelezo haya ni ngumu kueleweka na utapata shida kupata wateja. Nakupa Mfano
1. Dagaa Mwanza 100kg = 150,000/
Usafiri (service charge) =. 35,000/
Jumla. 185,000/

Malipo yanafanya kwa njia ya ......

Mzigo unakufikia ktk kipindi cha Siku 3 kutoka tarehe ya kufanya malipo

Lakini pia jitanue kwa kwa kuwafikia wateja wa ziada ambao wanapatikana ktk njia ambayo hilo basi linapita kama Singida, Manyoni, Dodoma, Morogoro nk
 
Habari Mkuu
Kwa maelezo haya ni ngumu kueleweka na utapata shida kupata wateja. Nakupa Mfano
1. Dagaa Mwanza 100kg = 150,000/
Usafiri (service charge) =. 35,000/
Jumla. 185,000/

Malipo yanafanya kwa njia ya ......

Mzigo unakufikia ktk kipindi cha Siku 3 kutoka tarehe ya kufanya malipo

Lakini pia jitanue kwa kwa kuwafikia wateja wa ziada ambao wanapatikana ktk njia ambayo hilo basi linapita kama Singida, Manyoni, Dodoma, Morogoro nk
Umeiweka vzuri mkuu, asante
 
Back
Top Bottom