shikulaushinye
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 828
- 456
Wakuu samhani, naomba tutoke nje ya box tujadiri jambo hili kwa kina. Kwa mtazamo wangu baada ya uchaguzi yafutayo yanaweza kutokea.
CUF KUCHUKUA NCHI na kufanikiwa na mpango wao wa siku nyingi kuvunja Muungano. Kwa nini CUF wanaweza kuchukua nchi?
Kuna tetesi kwamba CUF wamekuwa wakishinda Zanzibar lakini wamekuwa wakipokonywa ushindi, rejea maelezo ya Mzee Moyo wa Zanzibar, CUF bado wana nguvu huko Zanzibar, hivyo uwezekano wa kushinda ni mkubwa. Katibu mkuu wa CUF mheshimiwa SEIF SHARIF HAMAD ndiye mmiliki wa chama hicho na ndiye alimteau Ndug JUMA DUNI HAJI kuwa mgombea mwenza wa CDM. Mpango huo uriratibiwa na Mhishimiwa Mbowe kwa makubaliano maalumu na Maalimu SEIF.
Pia Bara kuna uwezekano UKAWA wakashinda yafuatayo yanaweza kutokea, Rais atakuwa Mheshimiwa Edward Lowassa, ni mchapa kazi mzuri labda afya yake imletee mgogoro. Iwapo afya yake itateteleka basi kiasi kwamba atashindwa kutimiza majukumu yake kwa mujibu wa sheria za nchi, itabidi makamu wake Ndg JUMA DUNI HAJI atakuwa Rais kwa kipindi kitakachokuwa kimebaki. Hivyo basi DUNI NA SEIF wanaweza kutimiza mipango yao ya siku nyingi ya kuvunja Muungano na kutunga sheria za kuweka mipaka mipya ndani ya Bahari kuu, hivyo kuleta msuguano kama siyo vita vya Tanganyika na ZNZ kwaani nasikia kuna mgogoro ulio kimya kuhusu mipaka ya Zanzibar na Tanganyika ndani ya bahari kuu kwenye Rasilimali nyingi za mafuta na gas.
Najua wengi watjibu kuwa Rais hatakuwa na mamlaka ya kufanya maamzi peke bila kukishirikisha chama chake yaani CHADEMA, lakini kumbuka kuwa katiba yetu inasema kuwa Rais akishaapishwa hataruhusiwa kufuata maamzi ya mtu yoyote wala kuingiliwa.
Hatari kwa CDM kupokonywa Urais: ni pale ambapo Rais hatakuwa tayari kufuata maelekezo ya mwasisi wa chama Mheshimiwa Mzee Mtei, Je Duni ataamua kutii kwa mwasisi wa chama kupitia kwa Mkwe wake, au Kutii amri ya aliyempendekeza kuwa mgombea mwenza mheshimiwa Maalim Seif Sharif Hamadi?
Aksanteni
CUF KUCHUKUA NCHI na kufanikiwa na mpango wao wa siku nyingi kuvunja Muungano. Kwa nini CUF wanaweza kuchukua nchi?
Kuna tetesi kwamba CUF wamekuwa wakishinda Zanzibar lakini wamekuwa wakipokonywa ushindi, rejea maelezo ya Mzee Moyo wa Zanzibar, CUF bado wana nguvu huko Zanzibar, hivyo uwezekano wa kushinda ni mkubwa. Katibu mkuu wa CUF mheshimiwa SEIF SHARIF HAMAD ndiye mmiliki wa chama hicho na ndiye alimteau Ndug JUMA DUNI HAJI kuwa mgombea mwenza wa CDM. Mpango huo uriratibiwa na Mhishimiwa Mbowe kwa makubaliano maalumu na Maalimu SEIF.
Pia Bara kuna uwezekano UKAWA wakashinda yafuatayo yanaweza kutokea, Rais atakuwa Mheshimiwa Edward Lowassa, ni mchapa kazi mzuri labda afya yake imletee mgogoro. Iwapo afya yake itateteleka basi kiasi kwamba atashindwa kutimiza majukumu yake kwa mujibu wa sheria za nchi, itabidi makamu wake Ndg JUMA DUNI HAJI atakuwa Rais kwa kipindi kitakachokuwa kimebaki. Hivyo basi DUNI NA SEIF wanaweza kutimiza mipango yao ya siku nyingi ya kuvunja Muungano na kutunga sheria za kuweka mipaka mipya ndani ya Bahari kuu, hivyo kuleta msuguano kama siyo vita vya Tanganyika na ZNZ kwaani nasikia kuna mgogoro ulio kimya kuhusu mipaka ya Zanzibar na Tanganyika ndani ya bahari kuu kwenye Rasilimali nyingi za mafuta na gas.
Najua wengi watjibu kuwa Rais hatakuwa na mamlaka ya kufanya maamzi peke bila kukishirikisha chama chake yaani CHADEMA, lakini kumbuka kuwa katiba yetu inasema kuwa Rais akishaapishwa hataruhusiwa kufuata maamzi ya mtu yoyote wala kuingiliwa.
Hatari kwa CDM kupokonywa Urais: ni pale ambapo Rais hatakuwa tayari kufuata maelekezo ya mwasisi wa chama Mheshimiwa Mzee Mtei, Je Duni ataamua kutii kwa mwasisi wa chama kupitia kwa Mkwe wake, au Kutii amri ya aliyempendekeza kuwa mgombea mwenza mheshimiwa Maalim Seif Sharif Hamadi?
Aksanteni