AMAFUMU
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 221
- 114
ushauri wangu kwa akina dada mliofika umri wa kuolewa!
akinadada mnatakiwa muwe makini sana mnapoingia kwenye mahusiano yanayolenga ndoa na sisi wanaume.
mnahitaji kuuliza umri wetu sisi wanaume kabla hujakubali kuolewa kwani mnapokuwa mnakubali kuolewa na kijana lika ya miaka 28-34 halafu unataka awe wako wewe tu, hilo haliwezekani kwa lugha nyepesi bila kuzunguka.
na sisi vijana wa lika hiyo tumechoka kukaa bar kusuruhisha ndoa zetu.!
hivyo kama haiwezekani kwenu basi nawashauri iombeni serikali isogeze umri wa kuoa kwa wanaume uwe miaka 35.!ili kuleta utulivu kwenye ndoa maake.!
akinadada mnatakiwa muwe makini sana mnapoingia kwenye mahusiano yanayolenga ndoa na sisi wanaume.
mnahitaji kuuliza umri wetu sisi wanaume kabla hujakubali kuolewa kwani mnapokuwa mnakubali kuolewa na kijana lika ya miaka 28-34 halafu unataka awe wako wewe tu, hilo haliwezekani kwa lugha nyepesi bila kuzunguka.
na sisi vijana wa lika hiyo tumechoka kukaa bar kusuruhisha ndoa zetu.!
hivyo kama haiwezekani kwenu basi nawashauri iombeni serikali isogeze umri wa kuoa kwa wanaume uwe miaka 35.!ili kuleta utulivu kwenye ndoa maake.!