Kwa wadada umri wa kuolewa

Kwa wadada umri wa kuolewa

AMAFUMU

JF-Expert Member
Joined
Oct 12, 2011
Posts
221
Reaction score
114
ushauri wangu kwa akina dada mliofika umri wa kuolewa!

akinadada mnatakiwa muwe makini sana mnapoingia kwenye mahusiano yanayolenga ndoa na sisi wanaume.
mnahitaji kuuliza umri wetu sisi wanaume kabla hujakubali kuolewa kwani mnapokuwa mnakubali kuolewa na kijana lika ya miaka 28-34 halafu unataka awe wako wewe tu, hilo haliwezekani kwa lugha nyepesi bila kuzunguka.

na sisi vijana wa lika hiyo tumechoka kukaa bar kusuruhisha ndoa zetu.!

hivyo kama haiwezekani kwenu basi nawashauri iombeni serikali isogeze umri wa kuoa kwa wanaume uwe miaka 35.!ili kuleta utulivu kwenye ndoa maake.!
 
hujielewi!!!!!!
zawadi yake....
roundhouse-kick-smiley-emoticon.gif
 
Yaani unasolve issue ya ndoa BAR??? We ni MTU hatari sana aisee
 
heeeee, unaumwa sana, yani udhaifu wako wa kutokutulia kwenye ndoa unataka kutuhusisha sote
 
Say whaaaat...i thot most men wanakiwa wamejielewa at that age and wanataka ndoa,Ref:things to do before or by 30 years
 
Kuamua kua na mwenza wa maisha ni ukomavu wa akili, age is just a number
 
Hata ikisogezwa hapo 35, hakuna kitakachobadilika, tamaa ya maumbile haijalishi umri
 
kuna ukweli,si tunawaonaaaaa,na thread si mnaleta,wadada jueni tu hivyo,waliotulia kwenye age hiyo ni wachache.
 
Kwa akili yako undhani kijana wa chini ya miaka 30 anakuwa mzuri kwenye ndoa? Hapo ulipo bado haujaoa ndo maana unadhani ni kuoa tu, wewe mwenywewe bado unatamani kila msichana nayekatiza mbele mboni za macho yako umgegede, ndiyo maana huwa kuna umri wa kufanya anasa zako hafu huo mri ukipita utajiona hata hamu na wasichana haipo na utabaki tu kuwaangalia.

Kuamua kua na mwenza wa maisha ni ukomavu wa akili, age is just a number
 
Kuna kijana ameoa ana miaka 25, mke wake ana miaka 26 na ndoa ipo vizuri tuu, wote wanajielewa na wamekomaa kiakili. Sasa wewe akili yako haifanani na umri wako ndo tatizo!!!
 
Back
Top Bottom