Roger Sterling
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 13,010
- 23,653
unadiriki kuzungumza lugha ngeni kwenye nchi ya kiswahili?!..laana ya BWANA iwe nawe
Hahaha. Ndiyo nilivyoweza kujieleza hivyo. Si kupenda kwangu.
unadiriki kuzungumza lugha ngeni kwenye nchi ya kiswahili?!..laana ya BWANA iwe nawe
unadiriki kuzungumza lugha ngeni kwenye nchi ya kiswahili?!..laana ya BWANA iwe nawe
Wanaume tumekuwa watu wa ajabu sana tofauti na wadada, mdada yupo open na ni rahisi sana kumjua kama huyu ni wa kupita tu au ni wa kudumu naye. Men tupo tofauti tuna mbinu zaidi ya 73 za kuficha uhalisia wetu, mwanamke anaweza kufika mahali akajiamin kabisa kuwa huyu ndiye lakini anakuja kushituka anakuta jamaa ana mke na watoto or jamaa hana mpango naye kabisa, muda huo wote bint alikuwa hajui na tayari ameshajihakikishia ushindi wa ndoa. Sasa nyinyi dada zangu ambao ndo wahanga wakubwa wa mapenzi jitahidini kufanya utafiti wa kutosha mwanzo kabisa wa mahusiano.Lazima ujue mpenzi wako anaishi wapi hii itakusaidia sana kuwajua watu wake wa karibu then kumjua yeye ni nani.
Chochote anachokuambia tafuta uthibitisho sio unakubali tu kama hujapita shule bana. Pia jua kuwa thamani yako kubwa ipo kwenye papuchi, Wanaume wengi huwa wapo kwa ajili ya hiyo so kabla hujampa inabidi ujiridhishe kuwa huyu ni mpitaji au mkaaji usije baadae ukaanza kulia lia. Vile Vile kuwa makini sana na mapenzi na mwanaume ambaye yupo mbali na macho yako, sisi sio wavumilivu kama nyinyi may be ni wachache sana.
Naomba niishie hapa.
Nawapenda sana.