EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,709
- 35,712
Utakua unatoka CAHTO yani kuja Bongo hadi ulale njiani? Wenzako classic wanatokea Tanga. Moro na Mikoa jiran sio porini karibu na Josefu Kabila na Nkuru.. we utaitwa musoma na Tarime tu[emoji41]Mm huyo? Maskini jeuri, nitoke mkoa zuuuuuuuu hadi dar kwa basi? Bora nifie mkoa.
Nilishawahi Mara moja Fanya upuuzi wa kwenda na ndege dar kwa nauli yangu nikarudi na basi iliniuma na hiyo ilikuwa ni upuuzi wangu kumjali MTU asiekuwa na Maana ikabidi nijinyime nimsaidie yeye. iliniuma sitosahau na haitojirudia.
[emoji23][emoji23][emoji23]eti nimfate mwanaume dar kwa basi afu nilale njiani??[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
BTW hiyo ya basi nikitumiwa kasema asante yesu, nahemea vyakula ndani natulia.
Hivi huwa unavutaga cha wapi?Nilishawai tumiwa nauli tena Mara mbili Na mtu huyo huyo. Jamaa alinitamani yule
Fala sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Utakua unatoka CAHTO yani kuja Bongo hadi ulale njiani? Wenzako classic wanatokea Tanga. Moro na Mikoa jiran sio porini karibu na Josefu Kabila na Nkuru.. we utaitwa musoma na Tarime tu[emoji41]
Mhamiaji
Sent using Jamii Forums mobile app
Mhamiaji ....ila ni uwezo wa kupanda pipa mwenyewe from chattle to bongoUtakua unatoka CAHTO yani kuja Bongo hadi ulale njiani? Wenzako classic wanatokea Tanga. Moro na Mikoa jiran sio porini karibu na Josefu Kabila na Nkuru.. we utaitwa musoma na Tarime tu[emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkimbizi"Nahemea"...kanda ya ziwa tu
United Fan
Sema ulikuwa upuuzi si vinginevyo[emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] [emoji13] pole mkuu kipindi hicho ulikuwa umekufa umeoza
Sent using Jamii Forums mobile app
Sasa hapo inakuwaje unamsaidia?Mm huyo? Maskini jeuri, nitoke mkoa zuuuuuuuu hadi dar kwa basi? Bora nifie mkoa.
Nilishawahi Mara moja Fanya upuuzi wa kwenda na ndege dar kwa nauli yangu nikarudi na basi iliniuma na hiyo ilikuwa ni upuuzi wangu kumjali MTU asiekuwa na Maana ikabidi nijinyime nimsaidie yeye. iliniuma sitosahau na haitojirudia.
πππeti nimfate mwanaume dar kwa basi afu nilale njiani??ππππ
BTW hiyo ya basi nikitumiwa kasema asante yesu, nahemea vyakula ndani natulia.
hapo utajibiwa hivi..... Unataka unisafirishe kama mzigo kwani mimi siwezi kwenda kukata mwenyewe Ticketusitume nauli kata ticlet
ha ha ha umempatia AiseeUtakua unatoka CAHTO yani kuja Bongo hadi ulale njiani? Wenzako classic wanatokea Tanga. Moro na Mikoa jiran sio porini karibu na Josefu Kabila na Nkuru.. we utaitwa musoma na Tarime tu[emoji41]
Sent using Jamii Forums mobile app
Fala katuma nauli mara mbili. Wengine wanakula bure. The world is unfairNilishawai tumiwa nauli tena Mara mbili Na mtu huyo huyo. Jamaa alinitamani yule
Fala sana
Sent using Jamii Forums mobile app