Mwlmgomaji
Member
- Aug 3, 2012
- 93
- 6
Habari wana JF!
Serikali yetu inajitahidi sana tangia ianze imejitahidi na inaendelea kujitahidi kukusanya kodi kutoka vyanzo vyake muhimu kwa kupitia taasisi zake kama TRA n.k licha ya kuwepo na changamoto mbali mbali katika mashirika na taasisi hizi.
Ushauri wangu kwa JPM ni aweke mfumo ambao utakuwa wazi na wenyekuaccess acount za wafanyabiashara ambao TRA au taasisi husika zitakazo undwa ziweze kukata KODI directly katika akaunt zao hii itapunguza malimbikizo ya kodi.
Mfumo uwe kama unaotumika kwa wafanyakazi kila mwez wanakata chao. Ingekuwa sio rahisi eti wafanyakazi wapewe full salary alafu kwa hiari yao wakalipe kodi ingekuwa ngumu sana. Utengenezwe mfumo wa kuaccess bank accounts na kufanya deduction ya kodi monthly, ili iondoe malalamiko kama haya.
Ni ushauri tu. Mnaweza kujadili wana JF.
Serikali yetu inajitahidi sana tangia ianze imejitahidi na inaendelea kujitahidi kukusanya kodi kutoka vyanzo vyake muhimu kwa kupitia taasisi zake kama TRA n.k licha ya kuwepo na changamoto mbali mbali katika mashirika na taasisi hizi.
Ushauri wangu kwa JPM ni aweke mfumo ambao utakuwa wazi na wenyekuaccess acount za wafanyabiashara ambao TRA au taasisi husika zitakazo undwa ziweze kukata KODI directly katika akaunt zao hii itapunguza malimbikizo ya kodi.
Mfumo uwe kama unaotumika kwa wafanyakazi kila mwez wanakata chao. Ingekuwa sio rahisi eti wafanyakazi wapewe full salary alafu kwa hiari yao wakalipe kodi ingekuwa ngumu sana. Utengenezwe mfumo wa kuaccess bank accounts na kufanya deduction ya kodi monthly, ili iondoe malalamiko kama haya.
Ni ushauri tu. Mnaweza kujadili wana JF.