zombi
JF-Expert Member
- May 6, 2008
- 1,618
- 1,333
Huu ndio ukweli, mwanamke ambaye hajaweka mazingira ya kutongozwa, hata kumuanza unajishauri Mara mia.Wakati mwingine hawa wake za watu kuna mazingira ya kuliwa wanayatengeneza wenyewe, aidha kwa makusudi au kwa kutojua!