GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,571
- 108,912
Mwananchi Online:
" Wajane wa waliokufa ajali ya moto Morogoro waomba msaada "
Huenda leo ndiyo ikawa Siku yangu njema kabisa ya Kuwajua Watanzania Wanafiki na wanaojifanya wana Huruma lakini hawataki Kuangalia Chanzo au Kisababishi Kikuu cha tatizo Kubwa ambalo limepelekea Umauti wa Wahusika.
Na Uchunguzi unasema kuwa 98% wa wale Waliokufa walikuwa ni Wezi wa Mafuta na 2% ni ya wale ambao hawakuwa na Hatia hiyo. Na Uchunguzi umeenda mbele zaidi na Kugundua ya kwamba hao hao Marehemu wakati wakiwa wanataka Kuiba Mafuta waliambiwa tena kwa nia njema tu kuwa wasiende lakini wengi wao wakawa wanawajibu Matusi hao Washauri na wapo ambao pia waliwapiga hadi Kuwatishia Maisha hao hao Washauri.
Eti tuwasaidie Wajane wao. Thubutu! Yaani Tusaidie Wajane wa Wezi? Katika hili wala An Eagle nisiwe Mnafiki hakuna Kusaidiwa hawa Wajane ili iwe Fundisho kwa ' Wapumbavu ' wengine kwa Siku za baadae pale wakiwa wanaonywa kutoiba Mafuta wawe wanasikia na Kutii.
Kama una Hela yako nenda Kasaidie Wajane wengine ambao kweli Vifo vya Waume zao vimetokana na Matatizo ( Magonjwa / Kiafya ) tu ya Kiasili au labda Ajali ya Bahati mbaya au zikikuwasha sana wapelekee Watoto Yatima utakuwa umefanya la maana mno na nina Uhakika hata Mwenyezi Mungu atakubariki lakini siyo kuwapa hawa Wajane ambao Vifo vya Waume zao ni vya Kujitakia.
Najua mpo mtakaonichukia kwa huu Ukweli wangu Mchungu ila tuvumiliane tu na acheni Sindano iwaingieni kisawasawa hasa.
Je, mtawasaidia hawa Wajane?
" Wajane wa waliokufa ajali ya moto Morogoro waomba msaada "
Huenda leo ndiyo ikawa Siku yangu njema kabisa ya Kuwajua Watanzania Wanafiki na wanaojifanya wana Huruma lakini hawataki Kuangalia Chanzo au Kisababishi Kikuu cha tatizo Kubwa ambalo limepelekea Umauti wa Wahusika.
Na Uchunguzi unasema kuwa 98% wa wale Waliokufa walikuwa ni Wezi wa Mafuta na 2% ni ya wale ambao hawakuwa na Hatia hiyo. Na Uchunguzi umeenda mbele zaidi na Kugundua ya kwamba hao hao Marehemu wakati wakiwa wanataka Kuiba Mafuta waliambiwa tena kwa nia njema tu kuwa wasiende lakini wengi wao wakawa wanawajibu Matusi hao Washauri na wapo ambao pia waliwapiga hadi Kuwatishia Maisha hao hao Washauri.
Eti tuwasaidie Wajane wao. Thubutu! Yaani Tusaidie Wajane wa Wezi? Katika hili wala An Eagle nisiwe Mnafiki hakuna Kusaidiwa hawa Wajane ili iwe Fundisho kwa ' Wapumbavu ' wengine kwa Siku za baadae pale wakiwa wanaonywa kutoiba Mafuta wawe wanasikia na Kutii.
Kama una Hela yako nenda Kasaidie Wajane wengine ambao kweli Vifo vya Waume zao vimetokana na Matatizo ( Magonjwa / Kiafya ) tu ya Kiasili au labda Ajali ya Bahati mbaya au zikikuwasha sana wapelekee Watoto Yatima utakuwa umefanya la maana mno na nina Uhakika hata Mwenyezi Mungu atakubariki lakini siyo kuwapa hawa Wajane ambao Vifo vya Waume zao ni vya Kujitakia.
Najua mpo mtakaonichukia kwa huu Ukweli wangu Mchungu ila tuvumiliane tu na acheni Sindano iwaingieni kisawasawa hasa.
Je, mtawasaidia hawa Wajane?