Naomba mawasiliano na chama chenu, ninataka kugombea Ubunge jimbo la Kawe, but for the mean time naomba niweze wasiliana nanyi ili niweze pata membership na pia kuweza kujihusisha full time na operations zenu hapa Dar es salaam, ili tuweze saidiana jinsi ya kujenga na kukiimalisha chama kisonge mbele zaidi.
Mimi sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote Tanzania ila nimekuwa nikijihusisha na kufu atilia siasa kwa muda behind the camera, na ninafikiri sasa its high time niingie mzima mzima kwenye siasa na nimekuwa na this feeling kuhusu hiki chama cha ACT kwamba kinaweza make it big time,kama tukiweza kushirikiana kwa pamoja bila migawanyiko, na kwakupitia mistakes ambazo zimekwisha fanywa na vyama vingine nafikiri tunaweza capitalize na kuwa mafanikio.
So please naomba tuwasiliane ilituanze chukua majimbo mapema
Mawasiliano PM.
nawasilisha.
Mimi sijawahi kuwa mwanachama wa chama chochote Tanzania ila nimekuwa nikijihusisha na kufu atilia siasa kwa muda behind the camera, na ninafikiri sasa its high time niingie mzima mzima kwenye siasa na nimekuwa na this feeling kuhusu hiki chama cha ACT kwamba kinaweza make it big time,kama tukiweza kushirikiana kwa pamoja bila migawanyiko, na kwakupitia mistakes ambazo zimekwisha fanywa na vyama vingine nafikiri tunaweza capitalize na kuwa mafanikio.
So please naomba tuwasiliane ilituanze chukua majimbo mapema
Mawasiliano PM.
nawasilisha.