Leo ni mwezi tangu nikamilishe na kukusanya fomu zangu za kuomba mkopo katika benk yenu kupitia tawi mojawapo lililopo mkoani Shinyanga.
Siku naenda kuulizia utaratibu wa kuomba mkopo huwezi amini walisisitiza kuwa mkopo wanatoa ndani ya masaa 72 (siku 3 ) tu.
Lakini baada ya kupeleka hizo fomu leo kama takribani mwezi na sehemu Pesa hawataki kuniwekea, Dah!
Ukimuuliza Afisa mikopo anakuambia ameshatuma form makaoo makuu na zinashughulikiwa.
Lakini ukimkumbusha juu ya maelezo yake ya awali kuwa mkopo wao ( NBC BANK) watoa ndani ya siku tatu, anakuwa mkali! akijitahidi kujibu atakuambia kuwa system makao makuu ni mbovu .
Ukimuomba kusitisha mchakato wa kuomba mkopo yaani kunirudishia come, hataki. (lengo langu ni kwenda kuomba ktk banj zingine).
Meneja ukimfuata unakurudisha kwa Afisa mikopo!
kwa hatua zaidi nikapiga MAKAO MAKUU NBC BANK kupitia NO 0768984000 wiki 2 zilizopita lakini majibu niliyopata mhuuuu!
Maswali kwa NBC
1. Kitengo chenu cha mkopo ni cha kilaghai
2. Kwa nini hamtaki kunirudishia fomu ili nikachukue mkopi sehemu nyingine?
3.Au mkopo wenu unatolewa mpaka baada ya kutoa rushwa kwa afisa mikopo?
Kwa mtanzania mnyonge kama mimi sidhani kama nitapata majibu kutoka Bank huasika.
Msaada wangu kwa uhakika nitapata kutoka kwa wanyonge wenzangu yaani watanzania wanaojari utu na shida za wengine.
Je watanzania nifanye nini ili kurudishiwa fomu zagu nilizojaza na kuwapatia NBC?
Msaada tafadhari.
Siku naenda kuulizia utaratibu wa kuomba mkopo huwezi amini walisisitiza kuwa mkopo wanatoa ndani ya masaa 72 (siku 3 ) tu.
Lakini baada ya kupeleka hizo fomu leo kama takribani mwezi na sehemu Pesa hawataki kuniwekea, Dah!
Ukimuuliza Afisa mikopo anakuambia ameshatuma form makaoo makuu na zinashughulikiwa.
Lakini ukimkumbusha juu ya maelezo yake ya awali kuwa mkopo wao ( NBC BANK) watoa ndani ya siku tatu, anakuwa mkali! akijitahidi kujibu atakuambia kuwa system makao makuu ni mbovu .
Ukimuomba kusitisha mchakato wa kuomba mkopo yaani kunirudishia come, hataki. (lengo langu ni kwenda kuomba ktk banj zingine).
Meneja ukimfuata unakurudisha kwa Afisa mikopo!
kwa hatua zaidi nikapiga MAKAO MAKUU NBC BANK kupitia NO 0768984000 wiki 2 zilizopita lakini majibu niliyopata mhuuuu!
Maswali kwa NBC
1. Kitengo chenu cha mkopo ni cha kilaghai
2. Kwa nini hamtaki kunirudishia fomu ili nikachukue mkopi sehemu nyingine?
3.Au mkopo wenu unatolewa mpaka baada ya kutoa rushwa kwa afisa mikopo?
Kwa mtanzania mnyonge kama mimi sidhani kama nitapata majibu kutoka Bank huasika.
Msaada wangu kwa uhakika nitapata kutoka kwa wanyonge wenzangu yaani watanzania wanaojari utu na shida za wengine.
Je watanzania nifanye nini ili kurudishiwa fomu zagu nilizojaza na kuwapatia NBC?
Msaada tafadhari.