zyogo
JF-Expert Member
- Oct 17, 2017
- 377
- 282
ukweli mtupuSiku Mzungu Akisema Sasa Yatosha Mauaji Congo Amani Itarejea Kama Angola Tu Walipoona Wamechuma Vya Kutosha Wakamgeuka Savimbi Mchezo Ukaisha Kuna Makala Moja Iliwahi Kutolewa Na Dw Yenye Kichwa JE CONGO IMELAANIWA NA UTAJIRI WAKE? hapa unaweza kumlaumu kabila ila ukweli wanaujua USA FRANCE BELGIUM UK RUSSIA GERMANY CHINA wakisaidiwa na vibaka wao kagame na museveni kukwapua mali za wakongo na wao wasivyojitambua ni wenyewe kwa wenyewe wanapopoana huku mchawi mkuu wakiwa nae ndani kwa mgongo wa UN eti walinda amani poleni wakongo EZALI LIKOLO MOKO NZAMBE ASALISA BISO BANA BA CONGO
laana kivipiUtajiri wa CONGO ni laana ambayo itawatafuna kama hawatajielewa.