Kwa takribani wiki kadhaa tangu Makonda ateuliwe/ achaguliwe kuwa Katibu Mwenyezi Taifa, nimeona kuna kitu chema ndani yake kinakuja kuponya au kuleta unafuu wa makovu ya Watanzania yaliyotokana na kifo cha Mtumishi wa Mungu, Mwanamapinduzi na Mzalendo wa kweli, JPM.
Nauliza, huyu ndiye JPM ajaye au tumsubiri mwingine?
Kama ndiye, mimi nitamuunga mkono kwa zaidi ya 98%.
Nauliza, huyu ndiye JPM ajaye au tumsubiri mwingine?
Kama ndiye, mimi nitamuunga mkono kwa zaidi ya 98%.