Kinjekitile junior
JF-Expert Member
- Apr 20, 2015
- 4,404
- 581
mkuu ukawa ni umoja wa katiba ya wananchi. kuhusu madaraka, kwani wale wagombea urais 36 wa ccm hawasaki madaraka?
Hao ni kampuni ya wasaka tonge ukitaka kulijua hilo angalia kwenye posho kama wabunge wao wamepinga!