kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 16,252
- 16,171
Viongozi wa UKAWA tunawakumbusha mambo yafuatayo ambayo hamna budi kuyakumbuka tena na tena na tena hasa katika kipindi cha kuelekea uchaguzi mkuu:
1. Watu wote wanaopenda njia mbadala ya kuongozwa tegemeo lao ni UKAWA
2. CCM iko vitani tangu mwaka 1954, ina silaha na mbinu zote za kupigana na kubaki madarakani
3. UKAWA ni mbinu mpya na ya kisasa hapa nchini ambayo haijawahi kuweko hapo kabla inayotishia utawala wa CCM
4. Umoja wenu wa UKAWA uko hatarini kuvunjia kila sekunde inayopita kuelekea kwenye uchaguzi mkuu, kuweni makini kwa kila sekunde na kila tukio hata kama liwe dogo namna gani.
5. Adui wa UKAWA wenu anaweza kutumia mtu yeyote, chombo chochote na sababu yoyote andani na nje ya ukawa kusambaratisha ukawa. Kaa chonjo saa mbaya! kosa moja watakula mpaka kingi yenu
6. Chungeni ndimi zetu katika kuongea na vyombo vya habari, tafuteni msemaji mkuu wa UKAWA
7. Wekeni mbele kwanza maslahi ya Taifa kabla ya maslahi ya vyama vyenu, wagombea wenu na viongozi wa vyama vyenu
8. Tunzeni siri za UKAWA sehemu salama zisivuje na kuwafikia wapinzani
9. Kubalianeni mapema namna mtakavyoiongoza nchi kama mkipewa ridhaa na wananchi kutuongoza
10. Chagueni viongozi wanaokubalika kwa makundi yote ya wanaume, wanawake, vijana, wazee, wakristo, waislamu, wafadhili, wafanyabiashara, makabila yote, kanda zote, wafanyakazi na pande mbili za muungano.
11. Wekeni mgombea anayefanana kwa sifa angalau kwa 50% na mgombea wa CCM (umri, wajihi, jinsia, taaluma, elimu, uzoefu, uadilifu, n.k)
12. Himizeni vijana wengi wakajiandikishe na hatimaye wakapige kura, na mwisho
13. Tafakarini mapema kuhusu vyanzo vyooote vya mbinu chafu kwenye uchaguzi na namna mtakavyoweza kukabiliana navyo ili hatimaye kuwe na uchaguzi na matokeo huru na haki.
14. Jiandaeni kisaikolojia kwa matokeo ya aina yoyote
1. Watu wote wanaopenda njia mbadala ya kuongozwa tegemeo lao ni UKAWA
2. CCM iko vitani tangu mwaka 1954, ina silaha na mbinu zote za kupigana na kubaki madarakani
3. UKAWA ni mbinu mpya na ya kisasa hapa nchini ambayo haijawahi kuweko hapo kabla inayotishia utawala wa CCM
4. Umoja wenu wa UKAWA uko hatarini kuvunjia kila sekunde inayopita kuelekea kwenye uchaguzi mkuu, kuweni makini kwa kila sekunde na kila tukio hata kama liwe dogo namna gani.
5. Adui wa UKAWA wenu anaweza kutumia mtu yeyote, chombo chochote na sababu yoyote andani na nje ya ukawa kusambaratisha ukawa. Kaa chonjo saa mbaya! kosa moja watakula mpaka kingi yenu
6. Chungeni ndimi zetu katika kuongea na vyombo vya habari, tafuteni msemaji mkuu wa UKAWA
7. Wekeni mbele kwanza maslahi ya Taifa kabla ya maslahi ya vyama vyenu, wagombea wenu na viongozi wa vyama vyenu
8. Tunzeni siri za UKAWA sehemu salama zisivuje na kuwafikia wapinzani
9. Kubalianeni mapema namna mtakavyoiongoza nchi kama mkipewa ridhaa na wananchi kutuongoza
10. Chagueni viongozi wanaokubalika kwa makundi yote ya wanaume, wanawake, vijana, wazee, wakristo, waislamu, wafadhili, wafanyabiashara, makabila yote, kanda zote, wafanyakazi na pande mbili za muungano.
11. Wekeni mgombea anayefanana kwa sifa angalau kwa 50% na mgombea wa CCM (umri, wajihi, jinsia, taaluma, elimu, uzoefu, uadilifu, n.k)
12. Himizeni vijana wengi wakajiandikishe na hatimaye wakapige kura, na mwisho
13. Tafakarini mapema kuhusu vyanzo vyooote vya mbinu chafu kwenye uchaguzi na namna mtakavyoweza kukabiliana navyo ili hatimaye kuwe na uchaguzi na matokeo huru na haki.
14. Jiandaeni kisaikolojia kwa matokeo ya aina yoyote