Kwa tahadhari tuunde TanCoBu-Coalition

Kwa tahadhari tuunde TanCoBu-Coalition

Bubu Msemaovyo

JF-Expert Member
Joined
May 9, 2007
Posts
4,189
Reaction score
3,548
Katika kuonyesha msisitizo ambao utawashitua hawa wakorofi ambao mara kwa mara huwa wanataka kunufaika sana na uwepo wa Tanzania katika Jumuiya Afrika Mashariki EAC na hali ilivyo hivi sasa ni wakati muafaka kwa Tanzania kuunda ushirikiano na nchi tatu kibiashara ambazo ni Tanzania, Congo DRC) na Burundi. Kifupi tuiite TanCoBu-Coalition. Hakika sisi tutapeta sana kibiashara maana masharti yetu kwa hawa 3K's yatakuwa yale yale tena yatakayo leta tija, kuliko hasara tunazoziona ziko wazi katika mahusiano haya bandia.
 
Cha msingi ni kuimarisha miundo mbinu yetu ya reli ya kati, uwanja wa ndege na bandari ya Kigoma. Biashara kati ya TZ, DRC na Burundi ni ya muda mrefu kuanzia wakati wa biashara ya utumwa. Mahitaji mengi ya DRC Mashariki na Burundi yanatoka au kupitia TZ. Uanzishwaji wa Kigoma Special Economic Zone (KiSEZ) na ujenzi wa "Dry Port" utakuza zaidi biashara kati ya nchi hizo zenye Soko kubwa na TZ.
 
Cha msingi ni kuimarisha miundo mbinu yetu ya reli ya kati, uwanja wa ndege na bandari ya Kigoma. Biashara kati ya TZ, DRC na Burundi ni ya muda mrefu kuanzia wakati wa biashara ya utumwa. Mahitaji mengi ya DRC Mashariki na Burundi yanatoka au kupitia TZ. Uanzishwaji wa Kigoma Special Economic Zone (KiSEZ) na ujenzi wa "Dry Port" utakuza zaidi biashara kati ya nchi hizo zenye Soko kubwa na TZ.

Ha ha ha ha!Wabongo bana!Kwa reli kujengwa tena katika Nchi hii ni sawa ndoto,Halafu nyinyi wenyewe Watanzania kutunza miundombinu ya barabara ya Nchi hii ni janga lingine pia,Ni juzi tu hapa kwa umoja wenu mkaungana na Waziri Mkuu mbovu kuliko wote tangu Nchi hii ipate uhuru kupinga juhudi za Waziri mmoja mchapa kazi za kuzilinda barabara za Nchi hii na leo hii mko mitandaoni kutaka kujengewa barabara nyingine ambazo hata kuzitunza hamuwezi?
 
Ha ha ha ha!Wabongo bana!Kwa reli kujengwa tena katika Nchi hii ni sawa ndoto,Halafu nyinyi wenyewe Watanzania kutunza miundombinu ya barabara ya Nchi hii ni janga lingine pia,Ni juzi tu hapa kwa umoja wenu mkaungana na Waziri Mkuu mbovu kuliko wote tangu Nchi hii ipate uhuru kupinga juhudi za Waziri mmoja mchapa kazi za kuzilinda barabara za Nchi hii na leo hii mko mitandaoni kutaka kujengewa barabara nyingine ambazo hata kuzitunza hamuwezi?
Kaka soma mada wakati umetulia, usiwe na jazba! Ni sehemu gani nimeandika kujenga reli mpya? Nimeandika kuimarisha ​miundombinu!
 
Ha ha ha ha!Wabongo bana!Kwa reli kujengwa tena katika Nchi hii ni sawa ndoto,Halafu nyinyi wenyewe Watanzania kutunza miundombinu ya barabara ya Nchi hii ni janga lingine pia,Ni juzi tu hapa kwa umoja wenu mkaungana na Waziri Mkuu mbovu kuliko wote tangu Nchi hii ipate uhuru kupinga juhudi za Waziri mmoja mchapa kazi za kuzilinda barabara za Nchi hii na leo hii mko mitandaoni kutaka kujengewa barabara nyingine ambazo hata kuzitunza hamuwezi?
Kiongozi, mbona sijaandika kujenga reli bali kuimarisha! Jaribu kutulia kwanza wakati wa kuchangia mada.
 
Ha ha ha ha!Wabongo bana!Kwa reli kujengwa tena katika Nchi hii ni sawa ndoto,Halafu nyinyi wenyewe Watanzania kutunza miundombinu ya barabara ya Nchi hii ni janga lingine pia,Ni juzi tu hapa kwa umoja wenu mkaungana na Waziri Mkuu mbovu kuliko wote tangu Nchi hii ipate uhuru kupinga juhudi za Waziri mmoja mchapa kazi za kuzilinda barabara za Nchi hii na leo hii mko mitandaoni kutaka kujengewa barabara nyingine ambazo hata kuzitunza hamuwezi?

Makosa husahihishwa na hali halisi. Hakuna taifa lililopata mafanikio bila kwanza kuingia hasara. Jambo la msingi hapo ni ile nia ya "KUTHUBUTU KWANZA" Kushindwa ni moja ya challenge ya maendeleo kama hutakata tamaa.
 
Ha ha ha ha!Wabongo
bana!Kwa reli kujengwa tena katika Nchi hii ni sawa ndoto,Halafu nyinyi
wenyewe Watanzania kutunza miundombinu ya barabara ya Nchi hii ni janga
lingine pia,Ni juzi tu hapa kwa umoja wenu mkaungana na Waziri Mkuu
mbovu kuliko wote tangu Nchi hii ipate uhuru kupinga juhudi za Waziri
mmoja mchapa kazi za kuzilinda barabara za Nchi hii na leo hii mko
mitandaoni kutaka kujengewa barabara nyingine ambazo hata kuzitunza
hamuwezi?

mkuu hueleweki,kwahiyo unataka tusitoe mawazo yetu?tunyamaze mkuu?Hapana,acha tutoe mawazo yetu ili akipatikana kiongozi makini atekeleze.
 
Nakuunga mkono mleta mada.Tena serikali itangaze haraka sana hii coalition,tunataka tuone matokeo ya kuwaondoa m23.
 
Ninaamini kwa dhati kabisa hii "Coalition of the Willing" ya 3K's ni mpango, tena very positive, wa Mungu kwa Tanzania. Tumejua kwa dhati kabisa ni yupi rafiki na yupi sio rafiki (angalau kwa kipindi hiki) na mipango yetu tuipangeje. Tumshukuru Mungu kwamba hilo limetokea na mipango yetu tuipange accordingly. Naamini baada ya muda sio mrefu, tukiwa serious, taifa letu litapaa kwenda mbele.
 
With JK in the house? Hata umpe Merekani ataifanya iwe Tandale.
 
Back
Top Bottom