Hapo vip!!
Juzi nilikuwa na stress zangu,nikaingia chimbo mmoja ili nipate moja baridi.
Mara nikamuona Murembo mmoja amekaa anakula mingo kutoka na kutogegeda muda mrefu ikabidi nikaze roho nimuombe campany,then akanielewa akaja.
Ikabidi nimuoagize anachokunywa baada ya hapo nikaenda straight to the Point nikamuambie mm naitaji nikugegete usiku wa leo,akawa amenielewa.
Baada ya hapo akaniomba twende club,anyway nikamuambie Hamna Shaka.
Baada ya kupiga Kama tatu tatu tukasepa Club is around 2pm.
Anyway mtoto ameumbika mashallah na nimzuri,kila nikimuangali mashine inasima mbaya,nikajua Leo lazima nimvuge mbaya.
Dah!!alipoharibu mpaka steem zikakata,mtoto huo ushuzi aliotoa hapa Club sio wakaida !!najua kila mtu anapumua but katika mazingira amboyo sio public... Lakini kwa hili alinifanya niishie kumnunulia pombe then nikamtakia usiku mwema.