Baada ya kusemekana kuwepo makubaliano ya kwa njia ya kusain mkataba baina ya waziri wa elimu na member wengine wa kada ya elimu, hali imeanza kuonesha japo dalili za mafanikio huko mashuleni, hii ni kutokana na walimu kupiga kazi kwa asilimia 100% na zaidi ya ubunifu waloelekezwa huko vyuon, ebu ona mwl huyu anavofundisha kwa moyo pamoja na kukatishwa tamaa na mwajiri wake! Kutokana na maslahi hafifu, walimu mjifunze!