Kwa staili hii Tanzania tumeenda mrama

scientificall

JF-Expert Member
Jun 4, 2015
457
328
Elimu bure ndio gumzo kila kona ya Tanzania lakini Kwa uchunguzi yakinifu ulofanywa matunda yatakayotokana na elimu bure ni dhahiri kua Tanzania tunaelekea kuzalisha wasomi feki wenye vyeti lakini kichwani hamna kitu, kama leo hii mwalimu mmoja anafundisha wanafunzi 500 Kwa wakati mmoja, leo hii mwanafunzi darasa la sita anaenda shule saa 6 mchana kutokana na ufinyu wa madarasa, fikiria mtoto wa darasa la 1 na 2 ataenda saa ngapi shule. Hii ndio elimu bure.
 
Elimu bure ndio gumzo kila kona ya Tanzania lakini Kwa uchunguzi yakinifu ulofanywa matunda yatakayotokana na elimu bure ni dhahiri kua Tanzania tunaelekea kuzalisha wasomi feki wenye vyeti lakini kichwani hamna kitu, kama leo hii mwalimu mmoja anafundisha wanafunzi 500 Kwa wakati mmoja, leo hii mwanafunzi darasa la sita anaenda shule saa 6 mchana kutokana na ufinyu wa madarasa, fikiria mtoto wa darasa la 1 na 2 ataenda saa ngapi shule. Hii ndio elimu bure.
sawa, uliyonena.
Lipi wazo lako mbadala la kujenga tulifanyie kazi ili tusiwe na wasomi wa vyeti?
Sereleka idea yako, Karibu!
 
Ndio matatizo ya kuiba Na kuvalia

njuga ILANI Wasizojua hata waasisi

wazo waliwaza Nini mpaka kufikia

mkataa!
 
Wewe unafikir mzaz wa kitanzania anaweza toa mchango kwa hair impossible Serikali imeona elimu garama Kwa wazaz sasa inajaribu ujinga
 
Anko c kweli kwamba serikali inajaribu ujinga.
Ni jukumu letu sote kuona serikali infanikiwa kwa kuleta mpango kazi kuhusu maboresho ya elimu kwa upana kuliko kuandika mistari mitatu ya kuponda tu
 
Back
Top Bottom