Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 16,748
- 28,138
I salute you kinsmen.
Sipo hapa kuwavunjia heshima manguli wengine walioimba RNB kabla ya benpol.
Hao kina Rama dee walikuwepo sawa lakini walikosa consistency ndio maana..
Ila benpol ni kichwa kikubwa sana akiamua kuimba anaweza sana tu
Tukumbuke alikuwaga kwenye label ya wagumu tu iliyokuwa inamilikiwa na producer Duke nadhani ni MLAB
Na yeye na grace matata ndio pekee walikuwa wanaimba pale wasanii wengine wote waliobaki kina stereo na wenzake walikuwa wanachana tu.
Kwahiyo Duke alikuwa anatengeneza midundo mingi ya genre ya hip hop..
Lakini Ben pol akawa anapita nayo tu
Refer hii "nikikupata"
Hili lilikuwa Dundo kali sana hata benpol mwenyewe anajua beat tu la hip hop ila akalifanya liwe sweet RNB song .
Halafu kuna hii pia "maneno" nayo beat la Duke ni hip hop tu bado jamaa akaua vizuri tu.
Huyu jamaa alishindikana kwa kweli .
Haya bado akaja na hii " pete" ingawa sidhani kama alitolea video yake
Bado hujaweka hapo " samboira" bado hujaweka moyo mashine
Bado hujaweka "jikubali"
Halafu kuna hii " wapo" unaizingatia ila?
Na hata alizoshirikishwa bado alifanya vizuri pia kwenye hizo collaboration.
Kwa kweli apewe maua yake kabla hajafa ana kichwa kizuri cha RNB
Nawashangaa mnaodai jux ni mkali wa RNB
Labda tuseme anajua anazo nyimbo chache tena mwanzo mwanzo tu sikuhizi ameswitch anaimba amapiano zake hiyo RNB gani?
Its Pancho
Sipo hapa kuwavunjia heshima manguli wengine walioimba RNB kabla ya benpol.
Hao kina Rama dee walikuwepo sawa lakini walikosa consistency ndio maana..
Ila benpol ni kichwa kikubwa sana akiamua kuimba anaweza sana tu
Tukumbuke alikuwaga kwenye label ya wagumu tu iliyokuwa inamilikiwa na producer Duke nadhani ni MLAB
Na yeye na grace matata ndio pekee walikuwa wanaimba pale wasanii wengine wote waliobaki kina stereo na wenzake walikuwa wanachana tu.
Kwahiyo Duke alikuwa anatengeneza midundo mingi ya genre ya hip hop..
Lakini Ben pol akawa anapita nayo tu
Refer hii "nikikupata"
Halafu kuna hii pia "maneno" nayo beat la Duke ni hip hop tu bado jamaa akaua vizuri tu.
Huyu jamaa alishindikana kwa kweli .
Haya bado akaja na hii " pete" ingawa sidhani kama alitolea video yake
Bado hujaweka hapo " samboira" bado hujaweka moyo mashine
Bado hujaweka "jikubali"
Halafu kuna hii " wapo" unaizingatia ila?
Na hata alizoshirikishwa bado alifanya vizuri pia kwenye hizo collaboration.
Kwa kweli apewe maua yake kabla hajafa ana kichwa kizuri cha RNB
Nawashangaa mnaodai jux ni mkali wa RNB
Labda tuseme anajua anazo nyimbo chache tena mwanzo mwanzo tu sikuhizi ameswitch anaimba amapiano zake hiyo RNB gani?
Its Pancho